Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Ulitaka akatae fursa?Kitila Mkumbo alimshauri Hayati Dr Magufuli aache kuteua Wana taaluma wa Vyuo vikuu ili wabaki kufundisha vyuoni…alipoteuliwa Yeye akitokea Udsm akashukuru sana na hata zile tuhuma zake za kufoji cheti Makonda zikaisha