Lissu: Rais Samia akiniteua katika Serikali yake atakuwa hanipendi

Lissu: Rais Samia akiniteua katika Serikali yake atakuwa hanipendi

Tamko hilo linaweza kuwa na pande mbili. Upande mmoja unaweza kuwa unamwonyesha kama mtu asiyeweza kushawishi kwa kujenga hoja bali anataka kupambana tu. mtu akiwa ndani ya system an uwezo mkubwa sana wa kufanya mambo fulani yatekelzwe kuliko aliye nje.

Upande wa pili unaweza kumwonyesha kama mtu anyetaka naye afikiriwe na mama kwenye nafasi za kuteuliwa ila anaanza kwa kusema sizitaki mbichi hizi.

Msingi mmoja wa busara ni kutokujibu maswali hypothetical.
Hongera kwa uchambuzi mzuri na wenye mantiki.
 
Mtu anayekuteua ni udhihirisho wa kukupenda. Asingempenda asingemtembelea Nairobi na kukutana naye Ubelgiji. TL angesema hawezi kufanya kazi chini ya mifumo mibovu ya serikali pasipo mabadiliko au katiba mpya!

Hata hivyo, aliyeko serikalini hazuiwi kukosoa mabaya na kupongeza mazuri. Akubali kuteuliwa pasipo kuacha misimamo yake ya kutetea haki na kuinyoosha serikali.

Ndivyo alivyo Othman Masoud na ndivyo alivyokuwa Maalim Seif.

..Nadhani anachomaanisha Lissu ni kwamba anatofautiana mno kimtazamo na Raisi Samia, na CCM, kiasi kwamba itakuwa vigumu kwake kufanya kazi chini ya utawala na mfumo huu.

..Mtu aliyeko serikalini anaruhusiwa kukosoa ndani ya vikao vya serikali tu, na maamuzi yakishafanyika, anatakiwa kuyaunga mkono na kuyatekeleza. Kwenda kinyume na hivyo hupelekea mhusika kufukuzwa au kutenguliwa ktk nafasi yake.

..Lingine ni kwamba Lissu anaamini anahitajika zaidi nje ya serikali ku-push agenda ya mabadiliko ya kikatiba, kisiasa, na kidemokrasia, kuliko kuwa ndani ya serikali kutekeleza ilani ya CCM.

NB:

Samia Suluhu kumtembelea Lissu hospitali Nairobi haikutokana na upendo. Alikwenda hospitali ili kulinda heshima ya serikali isionekane kwamba inaunga mkono shambulizi lile.
 
Naamini wewe ni mstaarabu haufanani kabisa na wenye kutukana hata kama umesoma kuwazidi. Naheshimu maoni yako na utu wako hata kama tunatofautiana.

Aidha, najua kuwa hakuna anayesomea ujinga na kusoma sana si kuelewa kila kiu! Hongera uliyesoma, ila mimi bado najifunza na kamwe sitahitimu elimu ya maisha - naendelea kujifunza.
Umesema vema, endelea kujifunza!
 


Yeye anaabudu wazungu. Mkuu mkono unaoleta kinywani. Ila waandikaji wengi kama wewe Ni wajinga sana. Hawafikiri kabla ya kuandika. Eti wanaCCM. Kila mtu Ana mtu Wake wa kumnyenyekea na waongeaji kama wewe ndo wa ajabu sana kwenye maisha halisi. Mbaya zaidi hawajioni. Ila I tell you. Mbele ya Rais wa nchi aura ni tofauti sana.
 
Mmmh yuko sure atakataa🤣🤣🤣
teuzi ni level nyingine my friend.

Mama Samia natamani sana awape vyeo tuone utendaji wenu.
Bure Kabisa.

Kwa nini usiseme huyo Samia na serikali yake iwapishe waunde ya kwao waonyeshe uwezo wao!

Wewe unafikiria 'uteuzi' tu ndio kila kitu kwako?
 
Shujaa ni anaepambana ndani ya jeshi

Ukiwa nje kuitwa muasi ni rahisi
Mkuu, ningumu kupambana ukiwa umefungwa pingu na hauna siraha.

Wapinzani kwa zama hizi mazingira yamewabana kufanya siasa za aina yoyote.
 
Bure Kabisa.

Kwa nini usiseme huyo Samia na serikali yake iwapishe waunde ya kwao waonyeshe uwezo wao!

Wewe unafikiria 'uteuzi' tu ndio kila kitu kwako?
Thank you.
Ni vile hakuna chama kinachoweza kupambana na CCM,vilivyopo vimeunga mkono juhudi.

Na ukitazama sana utatambua yajayo yanafurahisha.
 
Bure Kabisa.

Kwa nini usiseme huyo Samia na serikali yake iwapishe waunde ya kwao waonyeshe uwezo wao!

Wewe unafikiria 'uteuzi' tu ndio kila kitu kwako?

Kwanza kabisa mama anatakiwa awatrain aone utendaji kazi kama watafaa awaruhusu kwenda chama chao.
 
Nampenda Lissu maana ana misimamo ya kiuanaume, I love that Guy[emoji7][emoji3590][emoji3590]
 
Dhaifu ni wewe unayeishi kwa kujikomba?
Dogo, natamani kukufunda but hufundiki! Sijawahi kuwaza kuteuliwa na mwanadamu yeyote yule awaye kwani siyo tegemezi Kama wewe!
Mtakufa kibudu msimu huu Kama hamtabadili mbinu za uchawa! Madame hahitaji chawa!
 
Dogo, natamani kukufunda but hufundiki! Sijawahi kuwaza kuteuliwa na mwanadamu yeyote yule awaye kwani siyo tegemezi Kama wewe!
Mtakufa kibudu msimu huu Kama hamtabadili mbinu za uchawa! Madame hahitaji chawa!
🤣🤣🤣 lini umeacha uchawa! Endelea kuwatawaza upate mradi wako!
 
Ila waandikaji wengi kama wewe Ni wajinga sana. Hawafikiri kabla ya kuandika

Mkuu haya yalikuwa mazungumzo baina ya kituo cha televisheni cha Tanzania na makamu mwenyekiti wa CHADEMA.

Kupitia kipindi hiki cha Star TV tumepata habari muhimu kwa waTanzania, maana wana haki ya kupata habari.

Haijalishi kama tunaipenda habari hiyo au la, kubwa mazungumzo haya yalikuwa ya wazi, kiungwana na ya bayana kwa kuweka ukweli mbele.
 
🤣🤣🤣 lini umeacha uchawa! Endelea kuwatawaza upate mradi wako!
Kwa taarifa Yako hao walambwa miguu na watawazwa matacore hawafui dafu kwangu! Waulize wenzako hapo Lumumba wanaitambua hii avatar na wakiiona huwa wanakimbia!
Dada wakudadavuliwa umebadili avatar ili kuzuga? Sahau unaibu waziri na vyeo vingine kwani bi mkubwa hahitaji chawa na viroboto! Na amino nakuambia, tafuta kibarua Kwa shishi food angalau uambulie ukoko wa pilau!
 
Kwa taarifa Yako hao walambwa miguu na watawazwa matacore hawafui dafu kwangu! Waulize wenzako hapo Lumumba wanaitambua hii avatar na wakiiona huwa wanakimbia!
Dada wakudadavuliwa umebadili avatar ili kuzuga? Sahau unaibu waziri na vyeo vingine kwani bi mkubwa hahitaji chawa na viroboto! Na amino nakuambia, tafuta kibarua Kwa shishi food angalau uambulie ukoko wa pilau!
Umechanganyikiwa!
 
Back
Top Bottom