Mpaka sasa hujaona wanavyojenga wakiwa nje ya utawala?Hapa suala siyo kuzungumza ni kutenda, nashangaa anakataa kusaidia ujenzi wa kaya anamootakiwa kuishi yeye mwenyewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa hujaona wanavyojenga wakiwa nje ya utawala?Hapa suala siyo kuzungumza ni kutenda, nashangaa anakataa kusaidia ujenzi wa kaya anamootakiwa kuishi yeye mwenyewe!
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kuitwa muasi na kuwa muasi kamili.Shujaa ni anaepambana ndani ya jeshi
Ukiwa nje kuitwa muasi ni rahisi
Siyo suala la kuwa ndani ya moyo wake bali kupima dhamira ya mtu.
Hahahaa siku moja utashtuka.Siyo suala la kuwa ndani ya moyo wake bali kupima dhamira ya mtu!
Kujiamini ni muhimu sana lakini kuwa na imani na wenzako ni muhimu pia bila hiyo kamwe huwezi huwezi kufanikisha malengo yako!Hahahaa siku moja utashtuka.
Jifunze kujiamini peke yako.
Hiyo ni wewe umesema.Kujiamini ni muhimu sana lakini kuwa na imani na wenzako ni muhimu pia bila hiyo kamwe huwezi huwezi kufanikisha malengo yako!
Cc Pascal MayallaDuuuuhhh
Akili za wana CCM ni kuwaza teuzi tu that's why kazi yao ni kumwabudu Rais aliye madarakani
Huyu lisu niliwai mskia akisema yeye ni born rebel,Akihojiwa na mtangazaji wa Star Tv bwana Odemba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Lissu amesema endapo Rais Samia atamteua kushika nafasi yoyote katika serikali basi atajua kuwa hampendi.
Kwa kifupi Tundu Lissu amesema hawezi kukubali uteuzi wowote ndani ya serikali kwa sababu atakuwa amezibwa mdomo kwa kutoa mawazo mbadala. Amesema yeye hawezi kuwa ndani ya serikali ili abaki huru kusema mazuri na mabaya ya serikali!
Kwa nini Mkuu,madaraka matamu.Kwa katiba hii ya sasa yoyote atakayepewa cheo ku flop sio jambo la kushangaza.
Ni matamu na yanalevya sana pale yanapokuwa na udhibiti dhaifu.Kwa nini Mkuu,madaraka matamu.
Huo ndio ukweli.Ni matamu na yanalevya sana pale yanapokuwa na udhibiti dhaifu.
Kupambana ndani ya jeshi ni kama alivyopambana Ndugai.Shujaa ni anaepambana ndani ya jeshi
Ukiwa nje kuitwa muasi ni rahisi
Sasahivi tunasikiliza alichosemaUnajuaje ndani ya moyo wake,je siku akipewa teuzi akakubali utafuta hii comment?
Wanasiasa usiwaamini sana.
Wewe na baadhi,sio wote.Sasahivi tunasikiliza alichosema
Vp kuhusu kukubali teuzi? Atakubali na kujua kuwa Rais hampendi au atakataa huo uteuzi?Ni kwamba kama Rais atamteua kushika nafasi yo yote katika serikali basi atakuwa kama amefungwa na hatakuwa huru tena kuikosoa serikali.
Una kichwa kigumu hatariVp kuhusu kukubali teuzi? Atakubali na kujua kuwa Rais hampendi au atakataa huo uteuzi?
Ndiyo, nikigumu kweli kweli, nashukuru kwa appreciation. Wengine wanabaki nalo moyoni bila hata kunipa pongezi. Mwanaume hutakiwa kuwa na kichwa legelege utakimbiwa.Una kichwa kigumu hatari
Hao uliowataja hawakuteuliwa na Rais bali chama chao!Mtu anayekuteua ni udhihirisho wa kukupenda. Asingempenda asingemtembelea Nairobi na kukutana naye Ubelgiji. TL angesema hawezi kufanya kazi chini ya mifumo mibovu ya serikali pasipo mabadiliko au katiba mpya!
Hata hivyo, aliyeko serikalini hazuiwi kukosoa mabaya na kupongeza mazuri. Akubali kuteuliwa pasipo kuacha misimamo yake ya kutetea haki na kuinyoosha serikali.
Ndivyo alivyo Othman Masoud na ndivyo alivyokuwa Maalim Seif.