britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
nadhani itoshe tu kusema,1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
Haya umeyaandika ukiwa umetulia au umekurupuka kama anavyokurupuka Lissu?1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
Ona hii takatak
dah!Huyo sio tlaatlaah ni kibaraka wa mwabwenyenye
Bhita ni Bhita mura. Vita sasa imekolea1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
1. Alitudanganya kwamba hatagombea nafasi ya uenyekiti wa chama, amegombea.1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
Mtikila alimuandama Rostam. Jawabu ya Rostam ni kutoa karatasi aliyotumia kumpa pesa Mtikila. Mtikila akamuacha Rostam.Siasa zetu usipopewa karama ya kuzijua, unaweza kuingia cha kike. Imagine wana siasa wanavyooshe kama wanatutetea, kumbe wanakula kwa upole.
Kuna wakati Rostam alitoa list ya walioko kwenye payroll yake, mpaka Mchungaji Mtikila alikuwa ndani. I lost all the confidence in these guys who call themselves politicians from opposition parties
Tapeli la kijaluo hili pumbavu kabisa