Lissu sio muongo ni mkweli, muadilifu na muwazi. Mifano ni hii hapa chini

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zake
 
nadhani itoshe tu kusema,
Ndugu Wenje ameeleza ukweli bayana wa huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,

Nadhani wanachama wa Chadema katika ujumla wao wanafaa kuchukua maelezo ya Wenje katika uzito unaostahili.

Kibaraka ni muongo.Full Stop.🐒
 
Haya umeyaandika ukiwa umetulia au umekurupuka kama anavyokurupuka Lissu?
 
Kwahiyo mmeamua kumtumia Lisu kama kete ya mwisho kwenye mchakato wa katiba mpya!!?
Tumieni kete nyingine coz mbowe kaungana na wahuni na watatumia dola kushinda uenyekiti ndani ya chadema!!
 
Siasa zetu usipopewa karama ya kuzijua, unaweza kuingia cha kike. Imagine wana siasa wanavyooshe kama wanatutetea, kumbe wanakula kwa upole.

Kuna wakati Rostam alitoa list ya walioko kwenye payroll yake, mpaka Mchungaji Mtikila alikuwa ndani. I lost all the confidence in these guys who call themselves politicians from opposition parties
 
Bhita ni Bhita mura. Vita sasa imekolea
 
1. Alitudanganya kwamba hatagombea nafasi ya uenyekiti wa chama, amegombea.
2. Alitudanganya kuhusu maridhiano na tuzo aliyopewa Rais Samia Suluhu Hassan na Bawacha, na kumtupia zigo Mbowe peke yake. Sikiliza mwenyewe:
View: https://youtu.be/rTWpnMO7kto?si=DZRFiyxHR9M69dGp
 
Mtikila alimuandama Rostam. Jawabu ya Rostam ni kutoa karatasi aliyotumia kumpa pesa Mtikila. Mtikila akamuacha Rostam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…