CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Nashangaa kwa nini hakuchukua form kugombea makamu mwenyekiti.Moja ya Makamanda wa ukweli walioko CHADEMA, basi John Heche ni mmoja wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa kwa nini hakuchukua form kugombea makamu mwenyekiti.Moja ya Makamanda wa ukweli walioko CHADEMA, basi John Heche ni mmoja wao.
Hata akisaidiwa na Abduli na genge lao la Kizimkazi lakini amini hili Mbowe hatomaliza muhula wake na Samia akitaka kudhalilika aendelee kushindana na waliio nyuma Lissu inshort kama ilivyokuwa kwa JPM ,ATL ni kete muhimu kwa the state.Kwahiyo mmeamua kumtumia Lisu kama kete ya mwisho kwenye mchakato wa katiba mpya!!?
Tumieni kete nyingine coz mbowe kaungana na wahuni na watatumia dola kushinda uenyekiti ndani ya chadema!!
Mkuu hakuna Mjaluo pumbavu kama huyuTapeli la kijaluo hili pumbavu kabisa
Familia ya Soka na Mzee Kibao wakiona haya wanasikitika sana
Mkuu huyu anamsapoti Mwana CCM mwenzetu una mtusi tena?Ona hii takatak
Tapeli haswa haswa..Tapeli la kijaluo hili pumbavu kabisa
Nyani,Lissu naye huwa anadanganya.
Hayuko juu ya udanganyifu.
Mifano nimeshaiweka.Nyani,
Tupe na mifano alidanganya kwenye Nini na Nini??
Nahuo us3ng3 ndio unaendesha Maisha yako 😊😊😊😊Siasa bongo ni us3ng3 tu...
Mawazo Mgando hayo achana na fikra mbovunadhani itoshe tu kusema,
Ndugu Wenje ameeleza ukweli bayana wa huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,
Nadhani wanachama wa Chadema katika ujumla wao wanafaa kuchukua maelezo ya Wenje katika uzito unaostahili.
Kibaraka ni muongo.Full Stop.🐒
Welcome back commander Britanicca1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
mawazo tulivu bongo kali mbona umebaki na makasiriko tu gentleaman?Mawazo Mgando hayo achana na fikra mbovu

Wanasiasa ndio wanaishi na kuendesha maisha yao kwa kututegemea.... Sio sisi kuwategemea ...Nahuo us3ng3 ndio unaendesha Maisha yako 😊😊😊😊
Sawa mkuu.Wanasiasa ndio wanaishi na kuendesha maisha yao kwa kututegemea.... Sio sisi kuwategemea ...
Hivyo siasa kibongo bongo ni us3ng3 tu... Hata isipokuwepo maisha yanasonga
atachukua, muda bado unaruhusu.Nashangaa kwa nini hakuchukua form kugombea makamu mwenyekiti.