Lissu sio muongo ni mkweli, muadilifu na muwazi. Mifano ni hii hapa chini

Lissu sio muongo ni mkweli, muadilifu na muwazi. Mifano ni hii hapa chini

1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
Combination ya hatari hii
 
1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
tatizo mko wachache kati ya wapiga kura tegemewa
 
nadhani itoshe tu kusema,
Ndugu Wenje ameeleza ukweli bayana wa huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,

Nadhani wanachama wa Chadema katika ujumla wao wanafaa kuchukua maelezo ya Wenje katika uzito unaostahili.

Kibaraka ni muongo.Full Stop.🐒
Mshauri!
 
1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
Inawezekana hayuko sehemu sahihi kwa maana ya chama. Ashauriwe🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom