Combination ya hatari hii1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
tatizo mko wachache kati ya wapiga kura tegemewa1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
Nimekosa vyote Hadi Minoti ya Abduli nayo nimeikosa.Dr slaa,
umekosa kabisa hoja au umechoka?🐒
Thubutu Nina taarifa credible kabisa lema naye yuko na lissuTayari tumepata msimamo wa John Heche,bado Lema ila Lema kwa kuwa Mbowe ni mchaga mwenzake atakuwa upande wa Mbowe
jitahidi bana mwaka ujao ubadilikeNimekosa vyote Hadi Minoti ya Abduli nayo nimeikosa.
Mshauri!nadhani itoshe tu kusema,
Ndugu Wenje ameeleza ukweli bayana wa huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,
Nadhani wanachama wa Chadema katika ujumla wao wanafaa kuchukua maelezo ya Wenje katika uzito unaostahili.
Kibaraka ni muongo.Full Stop.🐒
Inawezekana hayuko sehemu sahihi kwa maana ya chama. Ashauriwe🤣🤣🤣🤣🤣🤣.1. Alimkaba Magufuli kuhusu makinikia tukadanganywa na hela ya Noah kwa kila mbongo
2. Alimkaba Kila mla Rushwa wa Escrow
3. Kawakaba wabunge wenzake
4. Sasa yuko na Abdul na wenje
5. Viti maalumu CHADEMA wanapata baada ya kulamba asali Fulani
6. Mama Samia kashindwa nchi
7. Burungutu la Pesa kwa mwenda zakeView attachment 3189374
Evolution or Revolution ?jitahidi bana mwaka ujao ubadilike