Ni nani mwenye maneno yake hapa Tanzania?! aliyatengeneza kiwanda gani?Jinsi ulivyouliza tu unaonesha upo finyu sana kisiasa na kisomi.
Huwezi mwanasiasa "msomi" ukasimama kuongea maneno yaliyokwisha semwa na mwengine, juzi tu, bila kumpa stahiki yake.
Japo angesema tu " Fatma Karume alisema ukweli aliposema chawa wanatokana na uchafu" halafu akaendelea kusherehesha.
Mnavyotokwa povu na karume.famil. utabak kuwa maskin tu maisha yakoMzanzibari au Mnyasa?
Kama Palestine [emoji23][emoji23][emoji23]
Weka hiyo clip, na kiingereza Cha Lisu sio kibovu maana tumekuwa tukimsikia mara kibao. Labda kama ulitaka awe na tone kama ya Bidden.Juzi niliona clip Lissu akiwahutubia watoto wa shule kwa kiingereza kibovu na alikuwa anaongea maneno ya kipuuzi sidhani hata hao wazungu wali enjoy, pamoja na mc kumpamba kwelikweli
Tatizo la wabongo ni kutaka kuongea kama wazungu kumbe ndo anaharibuWeka hiyo clip, na kiingereza Cha Lisu sio kibovu maana tumekuwa tukimsikia mara kibao. Labda kama ulitaka awe na tone kama ya Bidden.
Sawa, lakini sio ubovu wa kiingereza. Labda usema alitaka kuiga tone ya wazungu. Hata hapa Dar tunaona watu toka mikoani wakitaka kuiga accent ya watu wa Dar, lakini unaona kabisa Bado ana accent ya kilugha hata kama hakosei sentensi zake.Tatizo la wabongo ni kutaka kuongea kama wazungu kumbe ndo anaharibu
Juzi niliona clip Lissu akiwahutubia watoto wa shule kwa kiingereza kibovu na alikuwa anaongea maneno ya kipuuzi sidhani hata hao wazungu wali enjoy, pamoja na mc kumpamba kwelikweli
Wapi nimetaja Karume?Mnavyotokwa povu na karume.famil. utabak kuwa maskin tu maisha yako
Wapi nimetaja Karume?
Punguza kiherehere kama Kitimoto
Una busara sanaNi kuwa umeshindwa kuiona hekima iliyojaa kutoka kwenye matamshi ya mheshimiwa TAL?
Maneno yako ni kutokea wapi ndugu? Bila source ni uzushi mtupu.
Hata hivyo, nani anapenda kukosolewa? Ni Mussa, Nyerere, Samia au nabii jiwe? Si kuwa sote tunapaswa kukumbushana na kuwa tayari kukumbushwa bila kuchoka? Kwani ubinadamu ni nini?
Au mwezetu wewe ni Malaika?
Maneno haya uliyaona:
"Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia."
Au hata yana maana yoyote kwako?
imhotep, Tindo, WALOLA VUNZYA, Elli, Allen Kilewella na wanathaura wengine tusaidiane kumwaga darasa.
Hivi Lissu anarejea lini kuja kukusanya michango kwenye makangamano yake ya siasa?Safari ya kuelekea kwenye ukombozi ni ndefu na isiyopungukiwa machungu:
View attachment 2798542
Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia.
Ni lazima kuwa tayari kusikia habari mbaya. Tena hata zile zinazotuhusu sana.
Ni lazima tukubali kukosolewa. Ni lazima tukubali kujikosoa
Ni lazima tuupige vita u chawa.
"Chawa ni wajumbe wenye kufanya au kusema jambo kwa sababu tu, ya maslahi yao binafsi."
Hatuwezi kuwa kama ma CCM. Tuukatae u CCM.
Long live Tundu Antipas Lissu.
Aluta continua!
Lissu ni Mhe?? Wewe jamaaa goigoi sanaNi kuwa umeshindwa kuiona hekima iliyojaa kutoka kwenye matamshi ya mheshimiwa TAL?
Maneno yako ni kutokea wapi ndugu? Bila source ni uzushi mtupu.
Hata hivyo, nani anapenda kukosolewa? Ni Mussa, Nyerere, Samia au nabii jiwe? Si kuwa sote tunapaswa kukumbushana na kuwa tayari kukumbushwa bila kuchoka? Kwani ubinadamu ni nini?
Au mwezetu wewe ni Malaika?
Maneno haya uliyaona:
"Safari hiyo haiwezi kuwa siku zote ndani tu, ya yale ambayo tungependa kuyasikia."
Au hata yana maana yoyote kwako?
imhotep, Tindo, WALOLA VUNZYA, Elli, Allen Kilewella na wanathaura wengine tusaidiane kumwaga darasa.
Lissu ni Mhe?? Wewe jamaaa goigoi sana
Mheshimiwa kwa lipi?
Ondoka hapo ufipa utakufa na Sembe muulize mwenzio chid benz
Hivi Lissu anarejea lini kuja kukusanya michango kwenye makangamano yake ya siasa?
Una busara sana
Huyu anayewaita CCM Nguruwe hahahahahKwenye mapambano watu wa aina zote wapo.
"Zitto anasema hawezi kuwaachia nguruwe shamba."
Lissu anayo busara ya kutosha kuyaleta makundi yote pamoja. Hatuhitaji umaarufu. Tunahitaji katiba mpya na au chaguzi zenye kuaminika.
Anayo moral authority ya kumkemea yeyote katika chama na akashika adabu yake.
Huyu anayewaita CCM Nguruwe hahahahah
Mpwa, Nguruwe ni mtamu na mstaarabu sana sio SAHIHI kumfananisha Nguruwe na hawa visirani visokorinywo Watoto wa Shetani CCMKwenye hilo anastahili maua yake. Ujumbe mahsusi kabisa kwa akina ChoiceVariable na wenzao.