Lissu umeshinda, ioshe mioyo ya timu Magufuli tukukabidhi nchi

Lissu umeshinda, ioshe mioyo ya timu Magufuli tukukabidhi nchi

Joined
Dec 15, 2022
Posts
18
Reaction score
128
Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.

Tunakutakia kazi njema.
 
Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...

Tunakutakia kazi njema
Mtu mliyetaka kumua kwa Risasi leo awaoshe mioyo...?!
Ama kweli kua uyaone.
 
Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...

Tunakutakia kazi njema
Kwahiyo team jpm ndio yenye mamlaka ya kumpa Lisu I jmt!!?

Hebu fafanua vizuri mkuu!!
 
Lisu agombee urais wa JMT, nakuhakikishia kura za Mkoa wa Kigoma anabeba, Kanda ya Ziwa Yote anabeba, Iringa na Mbeya DSM pia anabeba pamoja na Singida, sisiemu watabaki na kura za Mkoa wa Pwani, sehemu ndogo ya Tanga na Dodoma. 2025 anammwaga mama yenu
 
Lisu agombee urais wa JMT, nakuhakikishia kura za Mkoa wa Kigoma anabeba, Kanda ya Ziwa Yote anabeba, DSM pia anabeba pamoja na Singida, sisiemu watabaki na kura za Mkoa wa Pwani, sehemu ndogo ya Tanga na Dodoma. 2025 anammwaga mama yenu
Mama atuhakikishie tu Makonda anapata uwaziri mkuu kura zote kabeba
 
Back
Top Bottom