min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kweli kabisa , magu lazima achukue fomu.Magu akichukua fomu ya kugombea tena nashauri Lisu awe mgombea mwenza...nitawachagua, najua Magu hawezi kumuumiza tena enka kwa kuwa watakua timu moja, mmoja full back wa kati mwingine center forward.