Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
JidanganyeDola haikuona sababu za kuingilia directly ndio maana Kawa so ni calculation za serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JidanganyeDola haikuona sababu za kuingilia directly ndio maana Kawa so ni calculation za serikali
Dola Haipatikani kizembe hivyo,mtaingia road kweli nyie? Au mtaishia kuwa mashujaa wa mitandaoni?View attachment 3210108
Choisivarayabo akitoa comment yake
Kwa tume hii ya uchaguzi, sahau babaHatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.
Dola Haipatikani kizembe hivyo au Mko tayari kuingia barabarani? 😁😁Jidanganye
Lissu ni mwamba. Ametikisa siasa za Tanzania kwa kushinda tu uchaguzi wa ndani.Dola Haipatikani kizembe hivyo,mtaingia road kweli nyie? Au mtaishia kuwa mashujaa wa mitandaoni?
CCM Ina pesa za kulipa wapiga kura wowote waliowagaragaza Serikali za Mitaa kweli?Hawa wote wamelipwa hakuna alieko hapo kwa mapenzi yake ni njaa tupu
Hata Sabaya alikuwa Radical kama Wewe, wako wapi akina Diwani na kina Kp? Dola ni watuDola Haipatikani kizembe hivyo au Mko tayari kuingia barabarani? 😁😁
Hajatikisa ilitarajiwa hivyoLissu ni mwamba. Ametikisa siasa za Tanzania kwa kushinda tu uchaguzi wa ndani.
Hapo hajaingia ofisini yani mtajinyea nyea
Hamna uchaguzi nyie kuanzia ndani ya chama mpaka nje. Hamjawahi kuwa na uchaguzi ni maigizo tuCCM Ina pesa za kulipa wapiga kura wowote waliowagaragaza Serikali za Mitaa kweli?
Kwa hiyo nyie ndio mliwatoa kina Sabaya au? 😆😆Hata Sabaya alikuwa Radical kama Wewe, wako wapi akina Diwani na kina Kp? Dola ni watu
Basi hayo hayo maihizo ndio yataipa CCM DolaHamna uchaguzi nyie kuanzia ndani ya chama mpaka nje. Hamjawahi kuwa na uchaguzi ni maigizo tu
Kamuulize leo anaishi kama digidigi🤣🤣Kwa hiyo nyie ndio mliwatoa kina Sabaya au? 😆😆
Baba yake Mwenyekiti wa CCM Mkoa harafu Aishi kama digidigi?Kamuulize leo anaishi kama digidigi🤣🤣
Uenyekiti wake ulimsaidia nini? Hao ni chawa tu hawana impactBaba yake Mwenyekiti wa CCM Mkoa harafu Aishi kama digidigi?
Ulimsaidia kutoka jela,subiria uchaguzi 2025 Utajua Wana impacts au hawana.Uenyekiti wake ulimsaidia nini? Hao ni chawa tu hawana impact
Au sioHajatikisa ilitarajiwa hivyo
Sasa hii mada ni ya Sharifa ,hoja Yako nini hapa?Au sio
Ushindi wa Sharifa Suleiman wa BAWACHA ya Chadema ni Ujumbe tosha kwa Lissu na Wafuasi wake kwamba Sera za Ubaguzi zimekataliwa
Kibaraka Lisu na kenge wengine kama kina Heche wamekuwa wakitoa na kueneza sera za ubaguzi dhidi ya Watanzania wanaotokea Zanzibar kwamba hawatakiwa kuwa Viongozi huku Bara . Sasa kwenye Uchaguzi wa Baraza la Wanawake Chadema,Mshindi ni Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar ambae amewabwaga wakiwemo...www.jamiiforums.com
Hawana zaidi ya kupora chaguziUlimsaidia kutoka jela,subiria uchaguzi 2025 Utajua Wana impacts au hawana.
Lissu sio mtu wa kuficha ukweli na uovu ili afaidike yeye. Magufuli alikuwa muuaji, kichaa mpenda sifa za kijinga. Lissu na wengine wenye akili timamu tulimjua hivyoHatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.