Lissu umeshinda, ioshe mioyo ya timu Magufuli tukukabidhi nchi

Lissu umeshinda, ioshe mioyo ya timu Magufuli tukukabidhi nchi

Chadema wote nawachukia wako tu kama waleeee mie nawapenda sana act wazalendo hicho chama hakina tamaa wala hakina mabadiliko mabadiliko
Chuki yako haina impact, unasema act hawana tamaa ya madaraka? Wapw upenyo au kama hujasikiliza sera zao
 
Lisu agombee urais wa JMT, nakuhakikishia kura za Mkoa wa Kigoma anabeba, Kanda ya Ziwa Yote anabeba, Iringa na Mbeya DSM pia anabeba pamoja na Singida, sisiemu watabaki na kura za Mkoa wa Pwani, sehemu ndogo ya Tanga na Dodoma. 2025 anammwaga mama yenu

Ramani ya vita
 
Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.

Tunakutakia kazi njema.
Alivyomtukana, mhh
 
Lisu agombee urais wa JMT, nakuhakikishia kura za Mkoa wa Kigoma anabeba, Kanda ya Ziwa Yote anabeba, Iringa na Mbeya DSM pia anabeba pamoja na Singida, sisiemu watabaki na kura za Mkoa wa Pwani, sehemu ndogo ya Tanga na Dodoma. 2025 anammwaga mama yenu

Hivi unajua kirefu ya CCM ... Sasa nenda kwenye kamusi angalia neno MapinduZi..unaweza ukashinda kwenye box ila nje ya box tukakushinda na usifanye lolote...
 
Mimi ni kati ya wanaomkubali jembe lisu na magufuli kwa pamoja .
Magu akichukua fomu ya kugombea tena nashauri Lisu awe mgombea mwenza...nitawachagua, najua Magu hawezi kumuumiza tena enka kwa kuwa watakua timu moja, mmoja full back wa kati mwingine center forward.
 
Mimi lisu siwezi kumsamehe mpaka aende kwenye kabuli akatubu na kulia kwa kutoa machozi, akitoka hapo aende Butiama afanye hivyo hivyo
 
Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.

Tunakutakia kazi njema.
🤣 🤣 🤣
 
Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.

Tunakutakia kazi njema.
Magufuli yupi sasa?
 
Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.

Tunakutakia kazi njema.
Kataa uliberali kua mjamaa mtetezi wa maslahi ya umma Lissu tukupe nchi. Mlengo wa kimagufuli tumebaki yatima wahuni wamepora ugombea urais ccm.
 
Back
Top Bottom