ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sasa kama hayo unayajua mtashindaje na Lisu wenu?Hawana zaidi ya kupora chaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama hayo unayajua mtashindaje na Lisu wenu?Hawana zaidi ya kupora chaguzi
Chuki yako haina impact, unasema act hawana tamaa ya madaraka? Wapw upenyo au kama hujasikiliza sera zaoChadema wote nawachukia wako tu kama waleeee mie nawapenda sana act wazalendo hicho chama hakina tamaa wala hakina mabadiliko mabadiliko
Kalale na viatu leo. Kampe Pole Mbowe wenuSasa kama hayo unayajua mtashindaje na Lisu wenu?
Umeshaishiwa 😁😁Kalale na viatu leo. Kampe Pole Mbowe wenu
Lisu agombee urais wa JMT, nakuhakikishia kura za Mkoa wa Kigoma anabeba, Kanda ya Ziwa Yote anabeba, Iringa na Mbeya DSM pia anabeba pamoja na Singida, sisiemu watabaki na kura za Mkoa wa Pwani, sehemu ndogo ya Tanga na Dodoma. 2025 anammwaga mama yenu
Hahaha hata mimi nimekuona mkuu kumbe ndio wewe😁😁Mkuu leo nimekuona😃😃
Sawa ilq jua tu nawachukia hasa lisuChuki yako haina impact, unasema act hawana tamaa ya madaraka? Wapw upenyo au kama hujasikiliza sera zao
Kwa mara yakwanza nakuunga.mkono kabisa . Sasa kislamu mnaitaji hii kafiriiChizi kapewa rungu.
Alivyomtukana, mhhHatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.
Lisu agombee urais wa JMT, nakuhakikishia kura za Mkoa wa Kigoma anabeba, Kanda ya Ziwa Yote anabeba, Iringa na Mbeya DSM pia anabeba pamoja na Singida, sisiemu watabaki na kura za Mkoa wa Pwani, sehemu ndogo ya Tanga na Dodoma. 2025 anammwaga mama yenu
MbelgijiHuyu Jamaa mwadirifu saaana
Magu akichukua fomu ya kugombea tena nashauri Lisu awe mgombea mwenza...nitawachagua, najua Magu hawezi kumuumiza tena enka kwa kuwa watakua timu moja, mmoja full back wa kati mwingine center forward.Mimi ni kati ya wanaomkubali jembe lisu na magufuli kwa pamoja .
Kwa hiyo Magu na Lisu hawakutakiwa kua na tofauti maana wote ni wazalendo wa kweli sema Lissu ni Muumini wa Sheria sanaWengi wa Timu Lisu ni Timu Magu
🤣 🤣 🤣Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.
Magufuli yupi sasa?Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.
ukimchukia wewe wanamkubali wengine wanamkubali, ndio kwanza anaanzaSawa ilq jua tu nawachukia hasa lisu
MTakuja kuliaga na mtasaga meno hapo mpo na shetani na shetani hazoelekiukimchukia wewe wanamkubali wengine wanamkubali, ndio kwanza anaanza
Kataa uliberali kua mjamaa mtetezi wa maslahi ya umma Lissu tukupe nchi. Mlengo wa kimagufuli tumebaki yatima wahuni wamepora ugombea urais ccm.Hatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.
Kwa hiyo kanda ya Kaskazini tumebaki na nani?