ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kimenichoma wapi?Kiroho kimekuchoma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimenichoma wapi?Kiroho kimekuchoma sana.
Pritive kind of thinking.......wa mwaka 47Ni kweli ila mie najua atashinda tu so sina haja ya kumpigia na mchukia lissu nilisha sema na humu jf wanapenda chadema wakanipiga ban kisa nimesema chadema . Ila lisu simpendi akipewa nchi tutakuwa na vita matata kama kongo na Tanzania ataizika yeye yule mtu ni sio mtu mzuri hata kidogo lwanza ni free mansons
Pole aisee leo utalala na viatuKimenichoma wapi?
Kwa nini?Pole aisee leo utalala na viatu
Na wewe punguani mnafiki umepewa nini?Chizi kapewa rungu.
Mbowe kawapiga hela kijanja sanaKwa nini?
Msijaze upepo hawezi kuwaHatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.
Mtalala na viatu leo.🤣🤣🤣Chizi kapewa rungu.
Kawapiga kina nani?Mbowe kawapiga hela kijanja sana
Mwisho wa kunukuuTundu Lissu ni very special human being....
Vya mjinga huliwa na mwelevuKawapiga kina nani?
Hizi ni kelele tuu na mihemko ya Lisu kushinda ila hawezi kuwa mnavyotamani 😆😆Vya mjinga huliwa na mwelevu
Mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili mumpige tena risasi. Hatutegeki. PumbavHatimae imetimia, wananchi waliowengi wamebubujikwa na furaha baada ya mkataa rushwa, mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa CHADEMA.
Watanzania tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe, ioshe mioyo yetu, tuombe radhi kwa matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake, tunajua chuki yenu ilitengenezwa. Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nchi.
Tunakutakia kazi njema.
Mlisema hawezi kuwa Mwenyekiti🤣🤣🤣🤣Hizi ni kelele tuu na mihemko ya Lisu kushinda ila hawezi kuwa mnavyotamani 😆😆
Dola haikuona sababu za kuingilia directly ndio maana Kawa so ni calculation za serikaliMlisema hawezi kuwa Mwenyekiti🤣🤣🤣🤣
Kizimkazi vipi huko mpo salamaaaaa?Chizi kapewa rungu.
Kizimkazi vipi huko mpo salamaaaaa?
Dola haikuona sababu za kuingilia directly ndio maana Kawa so ni calculation za serikali