TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Sikia kijana, ukitaka kula na kipofu usimshike mkono, sasa ingia kanda maalum na lugha yako khs Magu alafu kahesabu kura zako!.Mtu mliyetaka kumua kwa Risasi leo awaoshe mioyo...?! -Ama kweli kua uyaone.
Siasa inachezwa kisiasa hata angalia hata huyo jamaa mnamuita eti mwandishi mkongwe wa habari za uchunguzi, katoa kitabu Magu hayupo, now kila mtu anasifia. You know why?.