Hijui kama jpm ndo alimkung'uta risasi 32 mwamna Lisu akinuia kumuua?Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema