mtetezi wa MAGU
Member
- Dec 15, 2022
- 18
- 128
Mkuu leo nimekuona😃😃Mimi ni kati ya wanaomkubali jembe lisu na magufuli kwa pamoja .
Wengi wa Timu Lisu ni Timu MaguMimi ni kati ya wanaomkubali jembe lisu na magufuli kwa pamoja .
Mtu mliyetaka kumua kwa Risasi leo awaoshe mioyo...?!Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
Kwahiyo team jpm ndio yenye mamlaka ya kumpa Lisu I jmt!!?Hatimae imetimia, wanannchi waliowengi Wamebubujikwa na furahaa baada ya mkataa rushwa,mpinga ufisadi kuibuka mshindi wa uchaguzi mkuu wa chama cha demokrasia namaendeleo Chadema...WaTanzania Tuliompenda Magufuli tunataka kwenda na wewe,ioshe mioyo yetu tuombe radhi kwa kejeli matusi na kejeli ulizowahi kushawishiwa na mtangulizi wako dhidi yake,tunajua chuki yenu ilitengenezwa Ni muda sahihi kutuomba radhi tukupatie nnchi...
Tunakutakia kazi njema
Mimi na Godbless Lema!!Kwa hiyo kanda ya Kaskazini tumebaki na nani?
Mama atuhakikishie tu Makonda anapata uwaziri mkuu kura zote kabebaLisu agombee urais wa JMT, nakuhakikishia kura za Mkoa wa Kigoma anabeba, Kanda ya Ziwa Yote anabeba, DSM pia anabeba pamoja na Singida, sisiemu watabaki na kura za Mkoa wa Pwani, sehemu ndogo ya Tanga na Dodoma. 2025 anammwaga mama yenu
interestingWenye akili tu ndo wanajua hii code kuwa TEAM MAGUFULI NDO HAOHAO TEAM LISSU tazama hoja zao utagundua.
KWa sasa bora ccm tumeona maendeleo anayotifanyia na si makeleleKwa hiyo kanda ya Kaskazini tumebaki na nani?
BoweKwa hiyo kanda ya Kaskazini tumebaki na nani?