Lissu umeutumikia upinzani na kumwaga damu yako kwa gharama kubwa, upinzani uliokoa maisha yako, kulikoni?

Lissu umeutumikia upinzani na kumwaga damu yako kwa gharama kubwa, upinzani uliokoa maisha yako, kulikoni?

Labda anatofautiana kimtazamo na wenzie kwenye chama ni haki yake
Lissu ni muumini kindakindaki wa Demokrasia kutofautiana na mwenyekiti wake kwa mawazo ni misimamo ndiyo demokrasia yenyewe, alete hoja.Mwenyekiti hawezi kujibu hoja za Msigwa kwa level yake. Je Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa Nje ana kazi gani? Hoja zinazoelelkezwa kwa chairman ni za Chama chenu mujibu,unless mseme pesa au faranga iko kaxini.
 
Kusema ukweli sitegemei Lissu atoe kauli alizozitoa kuwa CHADEMA siyo mama yake, ni kweli wote tunafahamu hivyo lakini angalia historia yako kwenye upinzani, na hadi ulipopigwa risasi.

Nadhani hakuna aliyeteseka na kupigania haki za watanzania kama wewe. Safari ya mapambano ni ndefu na ngumu ina "dynamics" nyingi. Wewe ni Nelson Mandela wetu usiogope mtu awe ndani ya chadema au kwingine popote,wasikilize wananchi wanasemaje. Fullstop.

Pia Soma
- Kuelekea 2025 - Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu
Kwani upinzani wa kweli ni chadema Tu. Vyama vingine haviwezi kubadilika na kuwa Vyama Bora, kama ilivyo Chama kizuri kuwa na matendo yasio faa. Tujisahihishe yalikuwa ni maneno ya Mwalimu.
 
Kusema ukweli sitegemei Lissu atoe kauli alizozitoa kuwa CHADEMA siyo mama yake, ni kweli wote tunafahamu hivyo lakini angalia historia yako kwenye upinzani, na hadi ulipopigwa risasi.

Nadhani hakuna aliyeteseka na kupigania haki za watanzania kama wewe. Safari ya mapambano ni ndefu na ngumu ina "dynamics" nyingi. Wewe ni Nelson Mandela wetu usiogope mtu awe ndani ya chadema au kwingine popote,wasikilize wananchi wanasemaje. Fullstop.

Pia Soma
- Kuelekea 2025 - Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu
Zile nusu kaput hukaa sana kwenye ubongo
Lissu ana tatizo mahali. He is not normal
 
Back
Top Bottom