Uchaguzi 2020 Lissu vs Nyalandu ni sawa na CHADEMA vs CCM masikioni mwangu

Uchaguzi 2020 Lissu vs Nyalandu ni sawa na CHADEMA vs CCM masikioni mwangu

Lissu ana hoja nzito sana ndugu. Subiri tu uone Magufuli atakavyotoka nduki kwenye kampeni. Lissu sio kiumbe wa kawaida ndugu. You will see
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
HUwa naamini, kipimo cha mtu kutoka CCM kuja Upinzani na kuaminiwa kuwa ameachana na CCM lazima afanye mambo mawili.
1: Akae upinzani angalau kwa awamu mbili bila kuonyesha uswahiba wowote na CCM.

2: Angalau atuambie madudu ya CCM ambayo sisi huwa tunahisi tu ila yeye kwa sababu ni insider anaweza kutusaidia wapiga kura kujua kumbe zite tuhuma za wiziwizi huwa ni kweli au la. Lowasa, Membe, Shibuda, Nyarandu etc hawajawahi kufanya hii namb a mbili maana ni mtihani mgumu zaidi.

Ukosefu wa kimoja wapo hapo juu kinafanya huwa na imani hafifu kwa muhusika.

CHADEMA mtuletee mpinzani angalau wafuatiliaji wa mtanange tupate radha naamini 100% hataweza kutikisa Jabali ila atawaandaa wapinzani kwa 2025 na anaweza kuongeza idadi ya wabunge.


Mimi ni hayo tu.
You have made my day napata faraja kwamba kumbe Tanzania bado kuna watu wanaofikiri sawasawa kama wewe
 
HUwa naamini, kipimo cha mtu kutoka CCM kuja Upinzani na kuaminiwa kuwa ameachana na CCM lazima afanye mambo mawili.
1: Akae upinzani angalau kwa awamu mbili bila kuonyesha uswahiba wowote na CCM.

2: Angalau atuambie madudu ya CCM ambayo sisi huwa tunahisi tu ila yeye kwa sababu ni insider anaweza kutusaidia wapiga kura kujua kumbe zite tuhuma za wiziwizi huwa ni kweli au la. Lowasa, Membe, Shibuda, Nyarandu etc hawajawahi kufanya hii namb a mbili maana ni mtihani mgumu zaidi.

Ukosefu wa kimoja wapo hapo juu kinafanya huwa na imani hafifu kwa muhusika.

CHADEMA mtuletee mpinzani angalau wafuatiliaji wa mtanange tupate radha naamini 100% hataweza kutikisa Jabali ila atawaandaa wapinzani kwa 2025 na anaweza kuongeza idadi ya wabunge.


Mimi ni hayo tu.
Wote hao except shibuda hawawezi kuvunja viapo vyao..its complicated.
 
Wote hao except shibuda hawawezi kuvunja viapo vyao..its complicated.
hivyo viapo ni vya CCM au vya kitaifa. Tunazungumzia siri za CCM kama ambavyo jamaa wanaohama chadema na kukidhalilisha chama walichokuwa wanakiamini.
 
Kwa waliowahi kuwa mawaziri au viongozi katika Serikali usitarajie watoe siri yoyote ile. Kumbuka watu hao waliapa kutotoa siri yoyote ile waliyoijua au kuufahamu kupitia cheo chao. Endapo watadisclose siri hiyo, kifungo ni miaka 20 jela kwa mujibu wa sheria. Hata ungekuwa wewe usingetoa siri ulizoapa kuzitunza. So kama mlitarajia Lowasa atoe siri za Serikali basi mlikuwa mambulula maana hata Serikali ilikuwa inamlia timing ili aropoke apelekwe kabatini na aoneshwe kiapo chake kisha afungwe kihalali kabisa
 
Mkuu CCM ndio chama chenye Dola..na kinatumia Dola vizuri Sana kulinda maslahi yake... nadhani umenielewa.
nimejilazimisha kuelewa tu mkuu. Huu uchama dola huu noma sana aisee
 
Pia Mh Rais JPM anautisho katika jamii. Hata akisimama jukwaani ataonekana kama ni rais tu na ashahili kukosolewa na kupingwa, Sasa Lissu ndiye anayeweza kuchallenge mind za watanzania kidogo kuona kumbe anaweza akawepo mtu jasiri aliyenusurika kifo lakini bado anampinga waziwazi mtu wanayemuona yuko sahihi na kazi ambazo zinaonekana hazijawahi kufanywa tangu ukoloni.

Ila Lissu hata akipita atafutiwe HOJA maana huwa namuona mihemko n dio mingi k uliko tangible hoja. Yaani anataka tanznia gani ambayo itushawishi kuwa hii tulioletwa na anayempinga haifa.
Unaandika vyema sana sana Chief, Magufuli anahitaji kitu kigumu badala ya jiwe...
 
Kati ya wana CCM walioamia Chadema aliyeamia kwa sababu ya msingi nadhani ni Nyarandu tu na Ndo mana hata Chadema wamemuamini kumpa uwenyekiti kanda ya kati.

Ila kwenye suala la uraisi Mtu pekee wa kupambana na Magufuli ni Tundu Lissu Pekee na hili ni kwa sababu zifuatazo

1. Lissu ana uthubutu na ujasiri wa hoja kuliko nyarandu. Nyarandu is too soft na Magufuli doesn’t need a soft competitor. He needs a tough one na hapo Lissu anafaa

2. Lissu amekulia kwenye mapambano so ana picha kubwa ya mapambano ya watanzania. Anajua nini kinakosekana kwa watanzania tofauti na nyarandu

3. Magufuli mwaka huu lazima atataka kutangazwa wakati amepigwa kweli kwenye kura. Kwenye hilo Chadema hawaitaji mtu soft ambae atakubali Matokeo na uonevu they need Lissu ambae atakataa matokeo na kuhamasisha nguvu ya umma.

ili Magufuli atoke madarakani mwaka huu lazima apambane na Lissu. Ni Lissu tu!!
Lamba like za kutosha
 
nimejilazimisha kuelewa tu mkuu. Huu uchama dola huu noma sana aisee
Labda nikupe mfano rahisi Sana, hizi V8 zenye usajili wa STs , SU, PT ata JW mara zote unapoziona mtaani au highways..unadhani muda wote zinakua kwenye official business?..jibu ni hapana, kile ni chombo cha serikali au umma na aliyekabidhiwa kukutumia ndio anaweza akakitumia vizuri na Kwa maslahi ya umma au akatumia Kwa maslahi/matumizi binafsi.
CCM ndio walishinda uchaguzi uliopita na wakakabidhiwa kuongoza hili lichombo likubwa linaitwa Dola..SASA inategemea na ni Nani Yuko sekta ipi na Kwa malengo yapi but all in all maslahi ya chama yanalindwa bigtime
 
Back
Top Bottom