Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
- #21
Tuliza basi hasira kaka. Matusi ya nini tena? Wewe mwenyewe si umeshuhudia mgombea wako anavyoharibu?Wewe nimbwa flani hivi, hayo ☝yanatoka wapi? Siumeuliza? Unajijibu?
Hoja yako ni hii👇
Lissu v/s Zitto: Nani Mkali wa Kujenga Hoja za Kisiasa?
Mimi nashauri mtengeneze ili angalau hata mpate 15% ya kura ili muwe na uwakilishi kwa faida ya Watanzania wote.