Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Bila Shaka uliona mazungumzo na balozi wa US . Ahahahaaaa [emoji3][emoji23] [emoji1787]Ninachosema kuwa Lissu asitulazimishe kuonge English kama mother tongue yetu. Tutaongea English accordingly,iwe kwa ulimi wa kihaya au kijaluo. Sorry Jaduong!
Soma vizuri ueleweTundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu.We want to make Tanzania great nation, kiswahili ni ajenda kuu
Hawa mataga ni wapumbavu Sana kazi yao ni kupinga kila Jambo
Bila jet lee ,jack chan, don yen kucheza muvi na kuongea kingereza kizuri ungewajulia wapi, asilimia 10 ya wachina wote wanaongea kingereza
Wewe utakuwa una wendawazimu. Hujaelewa hata hoja inayoongelewa.Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu.We want to make Tanzania great nation, kiswahili ni ajenda kuu
Umeelewa lisu anachojaribu kueleza au umekimbilia kureply ili uwahi nafasi?Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu.We want to make Tanzania great nation, kiswahili ni ajenda kuu
Hivi jiulize uyo mtaalamu maarifa anayapata kutoka vyanzo gani na vimeandikwa kwa lugha gani? Siongelei wataalamu wa jadi.Sasa tukiacha kutumia si ndio mwanzo wa kufa mimi nadhani Kama kuna changamoto za matumizi kwenye ngazi za juu bora zifanyiwe kazi ila kufuta hapana, kiswahili kikakua zaidi ya kufa. Yeye Kama anapima uwezo wa mtaaluma kwa kuongea kingereza badala ya maarifa hayo ni matatizo yake binafsi
Unakurupuka kujibu wakati hujaelewa hoja!Hapa tunasema lugha ya kufundishia iwe moja,ni ama tuchague kiswahili au kiingereza!Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua Kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka Kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu. We want to make Tanzania great nation, Kiswahili ni ajenda kuu.
Afrika Kusini wanafundisha kwa lugha ngapi vile??? 👂🏿👂🏿👂🏿👂🏿👂🏿👂🏿👂🏿👂🏿👂🏿Tundu Lissu amesema haya kuhusu lugha ya kufundishia:
Ukiniuliza mimi, honest opinion Nchi yetu haiwezi kuzungumza Kiingereza, hivyo tunahitaji kuwa na mjadala juu ya sera ya lugha, tusipokuwa na mjadala huu, hatufiki popote kwani language of instruction is everything.
Mimi ni Wakili, Majaji wengi hawajui kiingereza, ukienda Nchi za wenzetu huko Mtanzania akiongea unatamani kuingia uvunguni mwa meza, Kiingereza chetu ni kibaya, sio kwasababu hatuna akili ila ni kwasababu tumekosa Sera ya Lugha.
Tangu tumepata Uhuru tumekua na ndimi mbili kuhusiana na lugha na ndimi mbili ni hatari, ulimi mmoja tumesema Kiswahili ni lugha ya Taifa na tumeiendeleza kwelikweli, ulimi wa pili tumesema Kiswahili si lugha ya kufundishia.
Fikiria tu muda Mtu anaotumia kujifunza Kiingereza ajifunze na aelewe miaka 4 tu ya Sekondari anakuwa hajaelewa Kiingereza sawa sawa na anakwenda tena form 5 na 6 bado anakuwa vilevile, kwa kifupi Watu wetu hawajui Kiingereza.
Bila kumsahau na Jinga lao, kipara kipya, wakudadavua na mataga wenzaoElitwege atapinga.
Duuuuuu, hii ni hatareeeeeeeMagufuli atapinga, na wakati huo huo hajui Kiswahili wala Kingeresa.
Tusha yazoea mkuu, mtu huwezi kuogopa kinyago ulicho kichonga mwenyewe!..subiri matusi toka kwa wana-ccm.
Wewe na umasikini wenu huwezi kujilinganisha na wachina, nyinyi hamuwezi hata kutengeneza hata tooth pick.Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua Kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka Kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu. We want to make Tanzania great nation, Kiswahili ni ajenda kuu.
Kakurupuka tu huyo maana kazi yake hapa jf aliyo pewa na Chakubanga ni kuhakikisha anapinga kila kitu kinacho ikosoa ccm.Mkuu hivi umeelewa anachosema Tundu Lissu au umekurupuka kujibu tu.
Ndiyo rais wako huyoKwahiyo hayo maendeleo ambayo anasema atawaletea watu kumbe ilikuwa anamaanisha kuongea kingereza vizuri?
Daah Chadema mmetuletea mtu wa aina gani?
Hawezi kujishangaa maana hapo ndiyo ukomo wa akili zakeShangaa mwenyewe ujinga ulioandika.
Naona kama vile umekurupuka kutoa jibu.Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua Kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka Kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu. We want to make Tanzania great nation, Kiswahili ni ajenda kuu.
Na hiyo ya kutojua kiingereza vizuri unakuwa ni shida sana kwa mwananfunzi anapoenda kujiunga form one.Fikiria tu muda Mtu anaotumia kujifunza Kiingereza ajifunze na aelewe miaka 4 tu ya Sekondari anakuwa hajaelewa Kiingereza sawa sawa na anakwenda tena form 5 na 6 bado anakuwa vilevile, kwa kifupi Watu wetu hawajui Kiingereza.