Lissu yupo sahihi, Mahakama za Tanzania hazipo huru. Ndiyo maana hata Mbowe aliachwa huru kabla ya kujibu tuhuma

Lissu yupo sahihi, Mahakama za Tanzania hazipo huru. Ndiyo maana hata Mbowe aliachwa huru kabla ya kujibu tuhuma

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
 
Lissu yupo sahihi kabisa, hebu angalia ile kesi ya yule Mzungu aliyeuliwa na watu wa Idara Fulani, kwa sababu aliwasakama kuhusu ujangili wa meno ya tembo. Waliohukumiwa kunyongwa ni watu 11. Na wengi wao ni kesi ya kubambikwa, na hukumu imekazimishwa na serekali ya Uingereza, Hakimu mwenyewe amesema amelazimishwa na kutoka juu.

Hatuna uhuru wa mahakama zetu
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
Umejichanganya kwenye paragraph yako ya mwisho. Umepoteza mantiki.
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.

Kwa taarifa yako mahakama zetu zingekuwa huru, mashahidi wote wa upande wa serikali kwenye kesi ya Mbowe leo hii wangepaswa kuwa jela. Kama kuna wakati nilizidi kuzidharau mahakama zetu ni kwenye kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
Nchi hii imefikia mahali kujionyesha ujinga wako hadharani inaonekana ni jambo la fahari.
Ulichoandika umedhihirisha matumizi mabaya ya akili kama utakuwa nayo.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yako mahakama zetu zingekuwa huru, mashahidi wote wa upande wa serikali kwenye kesi ya Mbowe leo hii wangepaswa kuwa jela. Kama kuna wakati nilizidi kuzidharau mahakama zetu ni kwenye kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.
Mahakama iliona ana kesi ya kujibu. Mashahidi walieleza walichoona
 
Hivi huwezi kukaa kimya tu?
Wewe ndiye ukae kimya huu ujinga wako washirikishe wazazi wako kwani ndiyo walifanya kosa kubwa kuleta kiumbe kama wewe duniani. Mbowe alishitakiwa kwa tuhuma za kizushi na DPP baada ya kuona Serikali kwa mara nyingine inakwenda kuvuliwa nguo akaamua kuiondoa kesi Mahakamani. Kama mshitaki ameondoa kesi Mahakamani ulitaka Mahakama itoe maamuzi kwa kesi ambayo haipo Mahakamani?
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
Wa kupimwa wewe kuanzia akili hadi ngwengwe
 
Sukuma Gang, genge la watu wasiokuwa na akili zaidi Tanzania, ila wanataka kupewa madaraka
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
Uwe unatumia akili kujibu hoja.Ukijidai umekasirishwa unazidi kujionesha ulivyo mtupu.
-Mbowe alimfanyia nani ugaidi ambao hata weye kipofu uliona?
-kama haujafurahishwa na jambo usijibu huku uchungu umekujaa moyoni.Jifunze kukubali ukweli na kukaa kimya kwa kubana miguu.
-kila utoapo muitikio jitahidi kutafuta ukweli na wala usitafute uhalalisho wa kosa kwa kosa.Utaonekana zuu bin zumbukuku.
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
Upuuzi mtupu.

Mahakama yenyewe ilikubali kuendesha kesi dhidi ya Mbowe kwa amri ya ikulu. Aliyekuamrisha uendeshe kesi kwa namna hii, ndiye mwenye uwezo pia wa kusema, acha, na wewe ukaacha.

Afisa wa TISS Tiganga asingeweza kufanya chochote bila ya kuekezwa na mkuu wake wa kazi, au ashindwe kutekeleza alichoamruwa.

Toka zamani mahakama ya Tanzania haikuwa huru, lakini marehemu aliharibu sana kuwajaza maafisa wa TISS ndani ya mahakama.
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
Ndio hapo sasa kuna umuhimu wa katiba mpya, itakayo mpunguzia rais madaraka.
 
Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa athibitishe kama siyo kweli.

Lakini ghafla DPP akawafutia mashitaka na Mbowe usiku usiku akaonekana Ikulu. Hii ni wazi hakuna Independence of Judiciary hapa Tanzania.

Leo hii Lissu anasema kuwa ndiyo maana Mabeberu wanakimbilia LCCSID kuliko kupitia mahakama zetu akisahau sakata la Mbowe na wenzake.
stiff necked fool
 
Back
Top Bottom