List of Rostam and Akram Aziz companies & Mohamed Enterprises

Uliand Uliandika hivi 2009 leo 2018 kuna kesi ya JAMIIFORUMS yenye hichi ulichoandika
 
1. Masikini anaroho mbaya sana 2. Masikini lazima awe mchawi.
Asante
 
Ktk mtandao. Kama huu. Niku silence
 
kutekwa kwa Mo na kudakwa kwa Akram Aziz ukiunganisha dots unapata maana iliyo kamili
Asante sana. Unajua kuna watu wengi walikuwa wanafuata mkumbo wa kupiga kelele bila hata kujua wanachopigia kelele ni nini. Hawa jamaa ni wachafu sana na baada ya kukamua mali zetu wanataka kutuwekea hata viongozi.
 
Ufukuaji wa makaburi utaigharimu sana serikali ya jiwe na nchi kwa ujumla maana kuna mikono mingi ya wanao jiita wazee wa nchi na hawata kubali kudhalilishwa na kuguswa kwa maslahi yao binafsi
Muhimu ni kudhibiti mianya yote iliyo sababisha utokeaji wa makaburi haya ili yasitoke tena na hata yakitokea kuwe na sheria mujarabu ya kuwashughulikia wahusika
 
Upo ikulu?
Kuna watu wengi ambao wamejificha nyuma ya Huyu mheshimiwa... Na ndio nao tunataka tuwafahamu..........tutasafisha this year mpaka tuhakikishe everything clean .....
 
Wewe unamakampuni gani unayomiliki tuanzie hapo kwanza
 
Labda mimi nimepitwa na wakati, hivi ROSTAM kaiba nini?!? ukiachana na issue ya KAGODA/EPA ambayo isingweza kumpa utajiri wote huo na ilikuja yeye tayari ana mipesa. naombeni mnijuze kidogo alitukwapulia wapi pengine?!? AU NI WIVU TU?!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…