List of Rostam and Akram Aziz companies & Mohamed Enterprises

List of Rostam and Akram Aziz companies & Mohamed Enterprises

1-AFRICAN TRADE DEVELOPMENT LIMITED(ATDL)

2-ISENEGEJA LIMITED(iliyonunua magazeti ya kampuni ya HCL pamoja na 'chuo' cha uandishi wa habari cha MAMET(jina la RA halionakani kwenye shareholders)

3-NEW HABARI LIMITED-(hii alikiri mwenyewe mei 3 pale kempiski kwamba anamiliki 'magazeti' kupitia hii kampuni)

4-AFRICA TANNERRIES LIMITED(jina lake halionekani kwenye wamiliki)

5-TANZANIA LEATHER INDUSTRY LIMITED(jina lake halionekani)

6-WEMBERE HUNTING SAFARI LIMITED(jina lake halionekani)

7-TANZANIA PACKAGES MANUFACTURE LIMITED(jina lake halionekani)

8-CASPIAN CONSTRUCTION LTD(yupo AKRAM AZIZ-jina lake halipo)

9-KAGODA-(jina lake halionekani)

10-DOWANS-(ambayo inatumia anwani za caspian)


kweli TUMESHIKWA PABAYA!
 
Watanzania tusilale, ni wakati wa kuikomboa nchi yetu. Katika nchi nyingine mafisadi kama hawa hukamatwa na kupigwa risasi, kisha jumuia ya kimataifa itapiga kelele mwishowe itanyamaza na nchi kusalimika. Wametukamata vilivyo kwa kukamata watawala, lakini nao wanatakiwa kujua kuwa siku zao zinahesabika.
 
1-AFRICAN TRADE DEVELOPMENT LIMITED(ATDL)

2-ISENEGEJA LIMITED(iliyonunua magazeti ya kampuni ya HCL pamoja na 'chuo' cha uandishi wa habari cha MAMET(jina la RA halionakani kwenye shareholders)

3-NEW HABARI LIMITED-(hii alikiri mwenyewe mei 3 pale kempiski kwamba anamiliki 'magazeti' kupitia hii kampuni)

4-AFRICA TANNERRIES LIMITED(jina lake halionekani kwenye wamiliki)

5-TANZANIA LEATHER INDUSTRY LIMITED(jina lake halionekani)

6-WEMBERE HUNTING SAFARI LIMITED(jina lake halionekani)

7-TANZANIA PACKAGES MANUFACTURE LIMITED(jina lake halionekani)

8-CASPIAN CONSTRUCTION LTD(yupo AKRAM AZIZ-jina lake halipo)

9-KAGODA-(jina lake halionekani)

10-DOWANS-(ambayo inatumia anwani za caspian)


kweli TUMESHIKWA PABAYA!

Hata wakificha majina yao kuna ushahidi wa kimaandishi unaonyesha ushiriki wao. Ukiona hivyo amesha sense danger but he has a lot to answer still
 
Jamani Rostam ana mbinu za kigaidi ebu ngalia aya hii

... Rostam anamiliki makampuni mengi, hata hivyo majina yake hayapo katika orodha ya wamiliki ... Katika umiliki wa Kampuni ya African Trade Development (T) Limited (ATDL) ndiko kuna vibwanga vya majina yanayohusiana na Rostam.

Majina yaliyotumika kusajili kampuni hiyo ni Rostom A. Sakarri, Rostam Sakarri, Rustom Aziz Sakarri, Rustam Sakarri na Rustom Sakaari.
Source: Mwanahalisi ya leo

ebu ona kidumbwe dumbwe cha majina hapo, huyu ni mwizi wa kutisha, anacheza na herufi kama anakosea vile. kwe kwe kwe ee
 
Hii kampuni ya mohamed Enteprises ndio ilitaka kuwaua Tanzania na Ngano yao ambayo imeharibika kama hawa jamaa wangekuwa kwenye nchi ambazo zinafata sheria sawasawa wasingeruhusiwa kufanya Biashara ya chakula kwenye maisha yao.

Kampuni kama hiyo ni hatari sana kwa maisha ya wananchi wa Tanzania bahati ile ngano ilitambuliwa mapema lakini swali la msingi la kujiuliza hawa wahindi wamepitisha bidhaa ngapi ambazo sio safi kwa matumizi ya binadamu?

Ndio maana Tanzania watu wengi wanakufa kwa magonjwa ya ajabu ajabu kwa sababu ya hawa jamaa.Hawajali wananchi wa Tanzania kwa sababu wao ni watanzania wenye Asili ya Kihindi (Hapana msiniite mbaguzi hapa kwani hio ndio hali halisi).

Mpaka lini Tanzania tutakuwa shimo la kutupia takataka? hatari zaidi kama takataka hizo ni bidhaa kama Chakula na Madawa


We need to learn now or else we are finish.

Mungu ibariki Tanzania na watu wabaya.
 
Kabisa mkuu na kibaya zaidi kumiliki kampuni zaidi ya moja.
Kwa maana nyingine ni mwiko kwako wewe mtanzania kuwa na shea TBL, TOL etc. Unatakiwa tu uwe mwanachama au shea na SACCOS.

Msichague cheap target.
Mnapiga viwanda vya maziwa ya watoto badala ya kupiga kambi za jeshi.

Rostam Azizi ni mfanyabiashara maarufu katika nyanja nyingi, ana kampuni ngapi? Ana hisa ngapi kwenye kampuni gani? Zinalipa kodi kiasi gani?

Mengi anautitiri wa kampuni, yeye walau kiala aendapo anaacha alama za nyayo zake.

Huyu Rostam Ukiacha Caspian Constr na Richmond kampuni zake nyingine ndo zipi??

Leo ni kma utani ndani ya JF, kesho wote tunakutana Ground Zero.
Tuone kama zamu ya kundi jingine la watu kujitoma ughaibhuni bila hata kubeba masamata yao haitajongea??
 
MwanaHalisi



Rostam Aziz, Mbunge wa Igunga, anamiliki makampuni mengi ambamo jina lake halionekani, MwanaHalisi limegundua. Hata pale anapokiri hadharani kuwa anamiliki kampuni fulani, bado kampuni hiyo haina jina lake kamili linavyofahamika katika kumbukumbu za Bunge.

Rostam anatajwa kumiliki makampuni 10 yaliyoanzishwa jijini Dar-es-Salaam kwa nyakati tofauti, lakini jina lake linaonekana katika kampuni moja tu, kwa mujibu wa fomu za Wakala wa Usajili wa Makampuni na Leseni za Biashara (BRELA).

Kampuni ambako jina lake linatajwa ni African Trade Development (T) Limited (ATDL) ambako pia limeongezewa jina jingine "sakarri" kwenye safu ya majina ya ukoo, ambalo hata hivyo halifahamiki kwa wengi.

Katika ATDL, orodha ya waanzilishi wenye hisa inaonesha kuna Rostam watano (5) huku jina la "Rostam" likiwa ama limekosewa au limebadilishwa herufi kadhaa au wahusiwa wakia na ubini tofauti.

Hata katika ununuzi wa magazeti ya Rai, Mtanzania, The African, Dimba, Bingwa na "chuo" cha Uandishi wa Habari – MAMET, kutoka kampuni ya Habari Corporation Limited (HCL), hakuna jina lake.

MwanaHalisi linaweza kuripoti kwua magaeti hayo yaliuzwa kwa kampuni inayoitwa Isenegeja Limited ya Dar-es-Salaam ambako jina la Rostam halionekani. Aidha, ni Rostam Aziz aliyekiri mbele ya waandishi wa habari, 3 Mei mwaka huu katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski, kuwa anamiliki magazeti hayo kupitia kampuni ya hiyo, gaeti lake la Rai liripoti kuwa "inasadikika kwamba Rai linamilikiwa na Rostam".

Kwa mujibu wa barua ya Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi ya HCL Shaaban Kanuwa ya 30 Aprili mwaka huu, bado wamiliki wa sasa wa magazeti hayo hawajayalipia. Barua hiyo inayoandikwa kwa Isenegeja Company Limited, kupitia New Habari (2006) Limited (NHL), ambayo Rostam Aziz anadai kumiliki, inasema MAMET na magazeti ya Dimba na Bingwa, bado hayajalipiwa.

Kanua anasema katika barua hiyo kwamba wakurugenzi wa HCL wanapendeka zilipwe mara moja Sh 100 milioni ambazo walikubaliana wakati wa ununuzi wa kampuni hiyo. Wakati huo huo, Kanuwa anaelekeza kuwa iwapo Isenegeja haijawa tayari au imeshindwa kulipia magazeti mawili ya Dimba na Bingwa na MAMET , basi iache kuvitumia kwa maana ya kuchapisha na kuendesha chuo.

Habari Corporation iliuzwa miaka mitatu iliyopita. Haijafahamika magazeti ya Rai, Mtanzania, na The African yaliuzwa kwa kiasi gani. Lakini barua ya bodi ya HCL inasema gharama ya magazeti ambayo hayajlipiwa ilikuwa kama ifuatavyo: Dimba Sh. 40 milioni, Bingwa Sh. 30 milioni, na Chuo Sh. 10 milioni na ilitaka kiasi hicho kilipwe ifikapo 29 Mei mwaka huu.
MwanaHalisi haikuweza kufahamu majengo ya HCL yaliuzwa kwa kiasi gani. Kanua alipoulizwa iwepo Isenegeja wamekwishalipa alisema swali hilo aulizwe mwenyekiti wa bodi, Jenerali Ulimwengu ambaye imefahamika yuko nje ya nchi na hakuweza kufikiwa.

Uchunguzi wa gazeti hili haukuweza kubaini faili la NHL ambako ulitegemea kukuta jina la Rostam Aziz aliyesema anamiliki kampuni hiyo ya magazeti yake. Lakini miezi miwili iliyopita, kulikuwa na andihi kwenye mtandao wa jamiiforums lililokuwa linaenda kwa Rostam Aziz kumtahadharisha kuwa alikuwa anaendesha kampuni ya NHL bila kusajiliwa na bila mwelekeo.

Andishi lililosainiwa kwa jina la moja la Salva, halikujulikana iwapo lilikuwa linatoka kwa mmoja wa wakurugenzi wa HCL na ambaye sasa ni Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu.

Mwandishi alikuwa anaonya juu ya kutozingatia sheria za nchi, kushindwa kuendesha kampuni kwa misingi bora ya menejiment ambako kulikuwa kunaelekea "kuua kampuni".

Haijafahamika uhusiano wa NHL na Isenegeja, na uhusiano wa Rostam na makampuni yote mawili - NHL na Isenegeja. Waanzilishi na Wamiliki wa Isenega ni Hassani Haidari na Gulam Abdurasul wote wa anwani za Dar-es-Salaam.

Katika umiliki wa kampuni ya African Trade Development (T) Limited (ATDL) ndiko kuna vimbwanga vya majina yanayohusiana na Rostam.

Majina yaliyotumika kusajili kampuni hiyo ni Rostom A. Sakarri, Rostam Sakarri, Rustom Aziz Sakarri, Rustam Sakarri na Rustam Sakaari. Wahusika wengine wa kampuni hii waliojiandikisha BRELA ni Gulam Abdurasul Chakaar, Bahram Abdurasul Chakaar na Abdulkadir Mehrab.

Rostam hakupatikana kuthibitisha iwapo Rustam, Rustom. Rostom na Rostam Sakarri yalikuwa majina yake, kulikuwa na jina lake au yalikuwa ya ndugu zake wa karibu. Simu yake ilijibu wakati wote kuwa haipatikani.

Kwenye muhtasari wa kikao cha kampuni ya ATDL cha 17 Machi, 1993, kuna saini mbili za Rustam Chakaari (mkurugenzi) na Bahram A. Chakaar (Mwenyekiti). Kubalika badilika kwa tahajia (spelling) za jina la Rostam na mwingiliano wa majina ya ukoo, ni mambo ambayo yanaacha kitendawili kigumu kutegua.

Kwa mfano, siyo rahisi kujua iwapo majina haya yameparanganyishwa kwa makusudi: Rustam Sakarri na Rustam Sakaari. Mwanasheria aliyezungumza na na MwanaHalisi kuhusu utata huu amesema ni vigumu kumhusisha Rostam na majina hayo matano iwapo kunazuka matatizo ya kisheria kwenye kampuni hizo.

Amesema akihusishwa ataweza "kuruka kiunzi" na kudai hahusiki kwa kuwa nchi nzima na labda vyeti vyak, kama anavyo vinaonesha anafahamika kwa jina la Rostam Abdulrasul Aziz. Mwanasheria huyo alisema labda mtu wa aina hiyo anaweza kunaswa kwa kutumia ushahidi wa kimazingira.

Makampuni yanayotajwa kumilikiwa na Rostam lakini jina lake halionekani BRELA ni pamoja na Africa Tanneries Limited, Tanzania Leather Industries Limited na Wembere Hunting Safaris Limited. Mengine ambako jina lake halionekani ni Tanzania Packages Manufactures Limited na Caspian Construction Limited ambayo anwani zake zilikuwa zinatumiwa kampuni ya tata ya kufua umeme ya Dowans.

Gazeti hili lina orodha ya makampuni ambayo yanadaiwa kuwa ya Rostam, wale wote waliotajwa kuwa waanzilishi na baadhi ya ofisi za makampuni haya ambako inadaiwa alikuwa anakwenda binafsi kuhimiza utendaji au kufuatilia malipo.

Madai ya Rostam kumiliki kampuni zisizo na majina yake yalianza kujitokeza lilipozuka sakata la yeye kuhusishwa na kampuni kadhaa enye kashfa ikiwemo ya Dowans na Kagoda. Rostam mwenyewe alikiri kuwa na uhusiano na Dowans, lakini akadai hamiliki kampuni hiyo isipokuwa anuani na barua pepe za kampuni yake ya Caspian Construction zilikuwa zinatumiwa na kampuni hiyo ya Dowans.

Jina la Rostam linatajwa katika umiliki wa kampuni tata ya Kagoda. Wakili wa Mahakama Kuu, Byidinka Michael Sanze amenukuliwa katika hati ya kiapo, akisema kuwa Rostam ndiye aliyemtaka kushuhudia hati za mikataba ya Kagoda.

Kampuni ya Kagoda ilichota zaidi ya Tsh. 40 bilioni katika akaunti ya Madeni ya Nje, ndani ya Benki Kuu ya Tanzania.



Swali la Wiki:

Mnajuaje mtu anayeitwa Rostam Aziz ndiye Rostam Aziz? is he an impostor?
 
Hii ndo asili ya Rostam Aziz kuogopwa zaidi ya aogopwavyo Ibilisi.
Unamiliki Kampuni bila kumiliki, upo kama hupo, unapiga kama hupigi.
Viongozi wote wa CCM wanatetemeka na kunyenyekea sana mbele yake,
Kwani wimo au utako wake hauna kikao na nguvu zake ziko kila mahali.
Ukicheza naye anakurudi ndani kwa ndani bila huruma.

Kisheria Rostam Aziz hamiliki kampuni yeyote Tanzania. Wana JF Wapenzi na walioko kwenye PaytRoll ya Rostam Wanaweza thibitisha hili kwa mshiko ndo unawafanya kutia pingu ndimi zao.

Wanasheria wa Tz wanajua kampuni zote anazomiliki mshenzi huyu.
Mameneja wa Benki wanajua fika kwamba Rostam Aziz ndo Nunda nyuma ya kila uchafu.
Watu wa kodi TRA wanajua fika mkono wa RA umegusa wapi.
Polisi ndo kabisa wana kila ushahidi.
Takukuru wana taarifa zote, tatizo Hosea anapatwa kigugumizi cha mwili na mawazo kila litajwapo jina la mkuu huyu wa Giza Rostam Aziz.

Kama Rostam Azizi amethibitika kuwa na nguvu zote hizi hivi kuna kitu ambacho akiwaomba au akiwaamuru viongozi wa serikali ya CCM hawawezi kubuyama na kumtimizia takwa lake??

Inanifanya nitake kucheka, lakini ugumu wa maisha unanipiga break.

Sumu ya moto ni maji lakini dawa yake ni moto.
 
Swali: Wakati RA alipojitwalia kampuni zote hizi, ninyi mnaolalamika MLIKUWA WAPI? Kwani nchi hii ni ya nani mpaka "mhamiaji" RA akaja kujitwalia mali zote hizi, pasi na ninyi kusema HAPANA?
 
Swali: Wakati RA alipojitwalia kampuni zote hizi, ninyi mnaolalamika MLIKUWA WAPI? Kwani nchi hii ni ya nani mpaka "mhamiaji" RA akaja kujitwalia mali zote hizi, pasi na ninyi kusema HAPANA?


Sisi tuko nje tunabeba Mabox ya nepi za wazungu , mwaka wa 20 huu.
 
Swali: Wakati RA alipojitwalia kampuni zote hizi, ninyi mnaolalamika MLIKUWA WAPI? Kwani nchi hii ni ya nani mpaka "mhamiaji" RA akaja kujitwalia mali zote hizi, pasi na ninyi kusema HAPANA?
Makele yanayopigwa hapa hayana tofauti na kelel za mlango,hakuna sheria inayomzuia Rostam kumiliki kampuni kwa jina la mtu mwingine kwa kuwa nani anjua kuwa anakukwa na mkataba na mtu mwingine kuwa amwendeshee kampuni yake.....inawahusu nini??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? zaidi ya yote mna maana kuwa kila ufissdi kuwa yupo kwahio ata pesa zake halali alizopata kwa nguvu zake nazo ni ufisadi....tumebinafsisha madini,caspian amechimba madini baada ya kushinda tenda iliouzwa internationally na kuyapiga chini makampuni ya south africa etc nayo mtasema kawaibia nyie????kampuni anayolopwa kidogo kabisa kwa uchimbaji wa madini ni mgodini wanalipwa milioni mia tisa kwa mwezi....na bado mlimnyima kampuni ya TRC kaenda kenya kapewa...unaweza fananisha maendeleo alioyapeleka rift valley railways nchini kenya na ujinga wa wahindi wenu hapa mjini trc..mtake msitake hakuna kima mwenye uwezo wa kunyang"anya ata shs moja ya Rostam na bado hajazaliwa Tanzania wala africa Mashariki......na mweenye ushshidi kuwa Rostam ameiba atangulie mahakamani au kwenye vyombo vya dola
 
Makele yanayopigwa hapa hayana tofauti na kelel za mlango,hakuna sheria inayomzuia Rostam kumiliki kampuni kwa jina la mtu mwingine kwa kuwa nani anjua kuwa anakukwa na mkataba na mtu mwingine kuwa amwendeshee kampuni yake.....inawahusu nini??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? zaidi ya yote mna maana kuwa kila ufissdi kuwa yupo kwahio ata pesa zake halali alizopata kwa nguvu zake nazo ni ufisadi....tumebinafsisha madini,caspian amechimba madini baada ya kushinda tenda iliouzwa internationally na kuyapiga chini makampuni ya south africa etc nayo mtasema kawaibia nyie????kampuni anayolopwa kidogo kabisa kwa uchimbaji wa madini ni mgodini wanalipwa milioni mia tisa kwa mwezi....na bado mlimnyima kampuni ya TRC kaenda kenya kapewa...unaweza fananisha maendeleo alioyapeleka rift valley railways nchini kenya na ujinga wa wahindi wenu hapa mjini trc..mtake msitake hakuna kima mwenye uwezo wa kunyang"anya ata shs moja ya Rostam na bado hajazaliwa Tanzania wala africa Mashariki......na mweenye ushshidi kuwa Rostam ameiba atangulie mahakamani au kwenye vyombo vya dola

Ama kweli umeamua, EL na RA? naona uko ndani kabisa ya mikakati yao!! Ipo siku itafika, usituambia hajazaliwa, tutajitoa mhanga tumsafishe siku yake yaja!!!
 
Makele yanayopigwa hapa hayana tofauti na kelel za mlango,hakuna sheria inayomzuia Rostam kumiliki kampuni kwa jina la mtu mwingine kwa kuwa nani anjua kuwa anakukwa na mkataba na mtu mwingine kuwa amwendeshee kampuni yake.....inawahusu nini??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? zaidi ya yote mna maana kuwa kila ufissdi kuwa yupo kwahio ata pesa zake halali alizopata kwa nguvu zake nazo ni ufisadi....tumebinafsisha madini,caspian amechimba madini baada ya kushinda tenda iliouzwa internationally na kuyapiga chini makampuni ya south africa etc nayo mtasema kawaibia nyie????kampuni anayolopwa kidogo kabisa kwa uchimbaji wa madini ni mgodini wanalipwa milioni mia tisa kwa mwezi....na bado mlimnyima kampuni ya TRC kaenda kenya kapewa...unaweza fananisha maendeleo alioyapeleka rift valley railways nchini kenya na ujinga wa wahindi wenu hapa mjini trc..mtake msitake hakuna kima mwenye uwezo wa kunyang"anya ata shs moja ya Rostam na bado hajazaliwa Tanzania wala africa Mashariki......na mweenye ushshidi kuwa Rostam ameiba atangulie mahakamani au kwenye vyombo vya dola

Sasa unaonyesha sura yako halisi na kuongea lugha uliyoizoea.
Ni vema mtu kuwa mkweli hata kama ukweli utakupa kibaka.
 
Who care hizi chat zinapelekwa kwa wenyewe au kwa Viongozi? Kama wanaiba na kutoa rushwa na kutuletea bidhaa ambazo zimekwisha muda wake na hazifai kwa matumizi ya binadamu unataka watu wasiseme.

It real piece me off to see some stupid comment which tried to undermined our effort against mafisadi
 
Ndugu yangu mchambuzi yeyote ambaye anajua biashara hawezi tumia hizi sentensi zako... kukubali kumwita mtu mwizi au fisadi.

Ninachopinga ni kumwita mtu mwizi au fisadi bila kuwa na ushahidi ulio clear bila kiwa na doubt yoyote.

Kukishakuwa na walakini kwenye ushahidi wowote ule unatakiwa kutosema fulani ni mwizi au fisadi.

Mimi siwezi shabikia jamaa kwa kuwa hanijui na wala sina uhusiano wowote zaidi ya uwe wa yeye ni Mtanzania na mimi ni Mtanzania.


Kama mimi, mtu mwenye akili timamu, nikakutuhumu wewe Kasheshe, Mtanzania mwenzangu mwenye akili timamu kuwa mwizi/fisadi bila kuwa na ushahidi, hilo ni kosa kisheria.

Wewe Kasheshe unaweza kunishitaki katika vyombo vya sheria nikachukuliwa hatua na vilevile kuweka rekodi kuwa wewe si mwizi/fisadi.

Lakini mtu akituhumiwa uovu unaohujumu maslahi ya taifa na anajua kabisa wanaomtuhumu hawana ushahidi wowote, asipoenda kushitaki mahakamani wananchi waelewe nini?
 
Hivi kumiliki makampuni ni KOSA hapa BONGO!!??? Ahaghahahgrrgrrriiiih@#%&^*%&**

Mkuu,

Kumiliki kampuni zinazofanya biashara halali na kulipa kodi serikalini kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi SI KOSA hata kidogo.

Kumiliki au kuhusika na kampuni za kitapeli, zinazohujumu uchumi na kukwepa/kutokulipa kodi halali NI KOSA hapa Bongo. Kama unamiliki au kuhusika na kampuni kama hizi vyombo vya sheria vinapaswa kukufuatilia. Na wewe kama Mtanzania mzalendo una wajibu wa kuwaridhisha wananchi wenzako kwamba hauhusiki na kuhujumu uchumi wa nchi yetu kupitia vyombo husika (mahakama) iwapo tutakutilia mashaka.
 
Makele yanayopigwa hapa hayana tofauti na kelel za mlango,hakuna sheria inayomzuia Rostam kumiliki kampuni kwa jina la mtu mwingine kwa kuwa nani anjua kuwa anakukwa na mkataba na mtu mwingine kuwa amwendeshee kampuni yake.....inawahusu nini??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? zaidi ya yote mna maana kuwa kila ufissdi kuwa yupo kwahio ata pesa zake halali alizopata kwa nguvu zake nazo ni ufisadi....tumebinafsisha madini,caspian amechimba madini baada ya kushinda tenda iliouzwa internationally na kuyapiga chini makampuni ya south africa etc nayo mtasema kawaibia nyie????kampuni anayolopwa kidogo kabisa kwa uchimbaji wa madini ni mgodini wanalipwa milioni mia tisa kwa mwezi....na bado mlimnyima kampuni ya TRC kaenda kenya kapewa...unaweza fananisha maendeleo alioyapeleka rift valley railways nchini kenya na ujinga wa wahindi wenu hapa mjini trc..mtake msitake hakuna kima mwenye uwezo wa kunyang"anya ata shs moja ya Rostam na bado hajazaliwa Tanzania wala africa Mashariki......na mweenye ushshidi kuwa Rostam ameiba atangulie mahakamani au kwenye vyombo vya dola

Mkuu,

Hakuna Mtanzania yoyote mwenye akili timamu atakayemwonea wivu RA akitengeneza mabillioni ya magazillioni ya pesa kihalali na kulipia hicho kipato kodi.

Wanachotaka kujua Watanzania ni kama ndugu yetu RA anahusika ama hahusiki na ukwapuaji wa fedha Benki Kuu. Jibu la uhakika zaidi litatoka mahakamani, sii kwenye vyombo vya habari au blogs.

Ni hilo tu.
 
Makele yanayopigwa hapa hayana tofauti na kelel za mlango,hakuna sheria inayomzuia Rostam kumiliki kampuni kwa jina la mtu mwingine kwa kuwa nani anjua kuwa anakukwa na mkataba na mtu mwingine kuwa amwendeshee kampuni yake.....inawahusu nini??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????? zaidi ya yote mna maana kuwa kila ufissdi kuwa yupo kwahio ata pesa zake halali alizopata kwa nguvu zake nazo ni ufisadi....tumebinafsisha madini,caspian amechimba madini baada ya kushinda tenda iliouzwa internationally na kuyapiga chini makampuni ya south africa etc nayo mtasema kawaibia nyie????kampuni anayolopwa kidogo kabisa kwa uchimbaji wa madini ni mgodini wanalipwa milioni mia tisa kwa mwezi....na bado mlimnyima kampuni ya TRC kaenda kenya kapewa...unaweza fananisha maendeleo alioyapeleka rift valley railways nchini kenya na ujinga wa wahindi wenu hapa mjini trc..mtake msitake hakuna kima mwenye uwezo wa kunyang"anya ata shs moja ya Rostam na bado hajazaliwa Tanzania wala africa Mashariki......na mweenye ushshidi kuwa Rostam ameiba atangulie mahakamani au kwenye vyombo vya dola

Sawa Mzee, Hakuna sheria inayomkataza Rostam Kumiliki kampuni kwa kutumia majina ya watu, tunajua ni mchafu na ndio maana anatumia blind company, Ila bahati mbaya ni kwamba pamoja na kwamba yeye ni Blind owner kila anapokwenda kufuatilia mchongo kwa ajili ya kampuni zake alikuwa hatumii hizo blind names kujificha alikuwa anakwenda mwenyewe ushahidi wa kutosha upo na tutamshangaza nao very soon.

Ukitaka kujua jamaa ni mchafu hiyo Rift Valley aliwadaganya wakenya kwamaba ana USD 40 Million on front which was nguvu yake ya kuingia kwenye hiyo consortium jamaa wakagundua alikuwa hana hiyo pesa wakataka mtosa baada ya yeye kugwaya kusaign ile draft ya share iliyokuwa inamtaka atoe mapene on front which took him two years ku sort out nazani hutumbii tu kwamba alikuwa anasubiri prsa za richmond sio?

katika swala la madini mbona hujagusia zile blood diamond anazo nunua congo na kuja kuzisafisha dar au nalo hatujui?

Kukuhakikishia ni kwamba sio tu tutamnyang'anya bali tutauwa network yake yote ya ujambani ya east and central africa,
 
Sawa Mzee, Hakuna sheria inayomkataza Rostam Kumiliki kampuni kwa kutumia majina ya watu, tunajua ni mchafu na ndio maana anatumia blind company, Ila bahati mbaya ni kwamba pamoja na kwamba yeye ni Blind owner kila anapokwenda kufuatilia mchongo kwa ajili ya kampuni zake alikuwa hatumii hizo blind names kujificha alikuwa anakwenda mwenyewe ushahidi wa kutosha upo na tutamshangaza nao very soon.

Ukitaka kujua jamaa ni mchafu hiyo Rift Valley aliwadaganya wakenya kwamaba ana USD 40 Million on front which was nguvu yake ya kuingia kwenye hiyo consortium jamaa wakagundua alikuwa hana hiyo pesa wakataka mtosa baada ya yeye kugwaya kusaign ile draft ya share iliyokuwa inamtaka atoe mapene on front which took him two years ku sort out nazani hutumbii tu kwamba alikuwa anasubiri prsa za richmond sio?

katika swala la madini mbona hujagusia zile blood diamond anazo nunua congo na kuja kuzisafisha dar au nalo hatujui?

Kukuhakikishia ni kwamba sio tu tutamnyang'anya bali tutauwa network yake yote ya ujambani ya east and central africa,

Nakuaminia mwanangu,
Aluta Continua, mpaka kieleweke. The end of his (RA) wicked is around the corner
 
Kuna watu wengi ambao wamejificha nyuma ya Huyu mheshimiwa... Na ndio nao tunataka tuwafahamu..........tutasafisha this year mpaka tuhakikishe everything clean .....

JF inakaribia kuwa ZE UTAMU ACADEMIA kila kukicha ni vita dhidi ya wafuasi wa RA Vs Mengi radha inapungua kabisaaaaaa
 
Back
Top Bottom