MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Nini kipya hapo? Au deal kuandika jina la Rostam... maana hayo makampuni ndio aliyoorodhesha kwenye tovuti ya Bunge miaka kadhaa iliyopita.
Huyu naye unamtetea badala ya kuhitaji kujua meengi yanayomuhusu?
Ukiamua kuwa objective, lazima utaona la maana ktk hayo yote. Hakuna mfanyabiashara serious Duniani kote ambaye ataunda makampuni yote hayo bila kuwa millionea wa Dunia.
Sheria za Makampuni zinaeleweka. Ukiiunda halafu unaiacha hewani bila kutangaza kufirisika kwake, pia inaeleweka ni nini ukipate toka ktk sheria.
Hii bi dalili ya ufisadi, tena mkubwa.
Wabia wengine walioko ndani ya Bakhresa na makampuni yake, ni jamaa wa ikulu yetu. Huyo munayemuita JK.
Kampuni ya Ngozi iliyotajwa kuwa kule Morogoro, ni utapeli. 'Alipewa' kiwanda kwa kisingizio cha ubinafsishaji. Hakuwahi hata kuendeleza kiwanda na badala yake alihamisha mashine kupeleka Komoro! Taarifa zilifika PCB, alichunguzwa matokeo yakazuiliwa kwa amri iliyoitwa ya ngazi za juu. Nenda ukaone kama kuna kitu kiitwacho mashine. Hili tu ni sifa tosa ya kuwa fisadi na marafiki zake, hao akina JK.