List of Rostam and Akram Aziz companies & Mohamed Enterprises

Utakapompelekea maana unaweza kuwa wakala wake muulize na Kagoda ni yake?Halafu majina yake kamili ni yale aliyoandikisha kwenye Kampuni zake au Jina la Bungeni?JF ni huru kujadili kama inasemwa uongo kanusha kwa kutoa ukweli ili ijadiliwa,acha kutaka kuziba uhuru wa wa JF kama thread inakukera usiisome,soma zinazokukuna wewe,huwezi kunihukumu kwa kukushauri.
 
nilitaka kulalamika lakini nilipoona hizi picha za maiti hawa sina haki ya kuwaamulia waZanzibari kwenye maamuzi yao












 
I like this guy how rock him self...wish to be like him...rostam Aziz....naachana na siasa uchwara za Tanzania...akaachia jumbo...nani mwengine ataweza...kamfuata.MOHAMED....wa singida kaachia kimnya kimnya...tunabaki kubwabwaja...
 
HUYU JAMAA AMEWEZAJE KUKUSANYA MALI ZOTE HIZO KATIKA KIPINDI KIFUPI TU CHA MAISHA?
 
Ukiunganisha matukio kuna picha kubwa inaonekana.......!

Prof Shivji anauliza haya yanfanywa na Majemedari au Majizi......

Hope ni majemedari.....
 
Picha inaanza kunoga
 
Hawa Rostam na Mohamed mi nafikiri wamekuwa waendelezaji tu wa mali nyingi zilizo vunwa kutokana na uwindaji halali (kidogo) na haramu (sana) kutoka kwa watangulizi wao.
Watanzania wengi wenye asili ya Asia toka enzi za mwalimu kurudi nyuma, biashara yao kuu ilikuwa ni uwindaji (wengi wanamiliki vitalu huko mbugani).
Sasa hapa kwenye uwindaji unakuta mtu anaweza kuwa na kibali halali lakini anaunganisha humohumo na uwindaji haramu. Kile kibali kinakuwa kama ngao au kichaka cha kujificha
Hawa ndiyo leo mabilioneo wa nchi yetu Tanzania
 
Sio hao tu na Waarabu na wabulushi pia.Jiulize kwa nini walianzia Huko Rujewa,Iringa,Kilombero,Igunga .Nzega nk Leo wote wake Dar Mabilionea.
 
Kwahiyo yeye hawezi kumiliki kampuni unataka nini wewe ? Kuna waswahili wenzako wana kampuni zaidi ya hizo wametulia na wanazidi kuchanua andika hoja za maana sio za kibaguzi kama hizi

wacha kuharibu jukwaa la jamii
[emoji41][emoji41]
 
Sio hao tu na Waarabu na wabulushi pia.Jiulize kwa nini walianzia Huko Rujewa,Iringa,Kilombero,Igunga .Nzega nk Leo wote wake Dar Mabilionea.
Kwenye kando ya hifadhi za wanyapori waarabu wapiga sana
 
Kuna watu wengi ambao wamejificha nyuma ya Huyu mheshimiwa... Na ndio nao tunataka tuwafahamu..........tutasafisha this year mpaka tuhakikishe everything clean .....
then mtaanza kuomba misaada
 
Hata Trump ni Rais wa Marekani ambaye ni mkwepa kodi na anajisifia kwa tabia yake hiyo. Nchi za wenzetu ukishavuna mali ukaanzisha vitaga uchumi na kuajiri husumbuliwi
 
Kama magunia ya mkaa ama.
Unalipia kumi
Unauza 200
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…