nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,250
Mtu akiamini kuwa Zitto anayo list ilihali aliitwa katika kamati ya Werema akala kona basi anastahili kupimwa.Viongozi wote wa Chadema wanajua kuwa list anayo Zitto wao wanataka wapewe kina Lema.
Yaani Zitto kapambana peke yake kutafuta hiyo list kirahisi tu ampe Dr.Slaa au Mbowe.
Chadema wana wanajitapa kuwa chama makini wameshindwa kweli kuitafuta hiyo list.
Hapana. Huyo ni Juma Maldin KukwetiJMK ni Jamuhuri ya Muungano wa Kongo.
Sioni pia Reginald MengiMbona kwenye list baba lao RUGEMARILA hayupo.
Sioni pia Reginald Mengi
bila Dr Slaa hata wewe na familia yako mngeuzwa tena kwa bei rahisi sana .Hongera sana Dr Slaa kwa kuwataja, nadhani hii imesaidia sana ujenzi wa barabara vijijini, kupeleka maji, umeme na huduma muhimu. Hii ya kutaja mafisadi ndio iwe sera ya CHADEMA inasaidia sana.
....jmk...jamila michael kweka....:shock:
Tatizo watanzania hatuna uzalendo,na hatufikirii beyond what we see.....na tunasahau mapema sijui tatizo nini?! MF viongozi wenye tuhuma za ufisadi wanapogombea watu wanafurahia tu na kuwachagua pia,wakisahau kuwa maisha magumu,umaskini,kupotea kwa amani,usalama na Uhuru wa kweli ni chanzo cha viongozi wabovu.
Nashauri watanzania wenzangu kutorudia kosa kwa kuchagua kiongozi asiyefaa maana athari zake zinatuumiza wenyewe,na tusiwe na ushabiki wa vyama Bali mtu tunaepaswa kumchagua awe anaaminika kutetea maslahi ya taifa,tusiangalie rangi, dini,kabila,au chama anachotokea !!
Katika otodha hiyo sioni hata wa kukosa katika ordha mpya ya zitto