nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,250
VUTA-NKUVUTE
...TZ nchi yenye watu wa ajabu sana...mara nyingine unaona kama watu hawa wana laana vile....mfano: kwenye hii orodha lipo jina la JMK....ambaye alipewa uongozi wa awamu ya pili pamoja na kuwemo kwenye hii list...Pia Lowassa mamvi anapigiwa upatu wa ajabu awe rais ajaye....na wapambe wake ndio kina chenge et al....sasa kama haya yanafanyika na watanzania...mtu makini watu hawa uwaiteje??
...TZ nchi yenye watu wa ajabu sana...mara nyingine unaona kama watu hawa wana laana vile....mfano: kwenye hii orodha lipo jina la JMK....ambaye alipewa uongozi wa awamu ya pili pamoja na kuwemo kwenye hii list...Pia Lowassa mamvi anapigiwa upatu wa ajabu awe rais ajaye....na wapambe wake ndio kina chenge et al....sasa kama haya yanafanyika na watanzania...mtu makini watu hawa uwaiteje??
Last edited by a moderator: