Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkono ashindwa kumshitaki Slaa
What an old fart this asshole has become.I feel sooooooooooo sorry for him.
This was probably the worst thing to say among the millions of hungry and impoverished Tanzanians. Unajua, ingawa huyu jamaa amesoma na kubobea katika sheria, inaonekana ame-panic na ameshindwa kujua aseme nini ili kujitetea. You can't just blubber kwa watanzania kwamba benki yenu ya BoT inanilipa mamilioni ya saa moja wakati mtanzania wa kawaida kiasi hicho hakipati mpaka afanye kazi miaka 10. What an old fart this asshole has become.I feel sooooooooooo sorry for him.
Ndiyo ninalipwa dola 500 kwa saa kila siku ya kazi na fedha hiyo nalipwa kwa saa nane, alisema Mkono na kuongeza kuwa kesi hiyo inasimamiwa na wanasheria saba. Alifafanua kuwa watatu wapo hapa nchini, wawili wapo Ireland na wengine wawili wapo Jamhuri ya Watu wa Czech, ambako kesi hiyo inasikilizwa.
Mkono alisema wanaoishi nje ya nchi hulipwa dola 200 (karibu sh 260,000) kwa saa kila siku ya kazi kwa saa nane na kusisitiza kuwa hawezi kuiachia kesi hiyo, kama wanavyotaka wapinzani, hadi imalizike
Alisema kesi hiyo ina mawakili wanane ambao kila mmoja analipwa Dola za Marekani 500 kwa saa na anafanya kazi saa nane ambapo kwa ujumla analipwa Dola 4,000.
Aliongeza kuwa kila wakili katika kesi hiyo analipwa Dola 1,000 kwa saa inapofanyika nje ya nchi ambapo malipo yanafikia Dola 8,000 kwa hizo saa.
Walisema kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala. Naona huyo mwenye nyumba sasa analala kwa starehe zaidi.
Hivi kuna mtu anaweza kupata english translation ya hizi tuhuma za Dr. Slaa? Kama itapatikana, watu waliopo Marekani tunaweza kuji mobilise ili kuomba marafiki na ndugu zetu wapiga kura wa kimarekani ili wawashawishi masenator na representatives wao ili wazuie misaada kwa Tanzania. Muungwana amekua akipewa sifa nyingi za bure tu na Wamarekani ambao hawajui ukweli kuhusu tuhuma dhidi ya serikali yake ya Mafisadi.
KAMA ENGLISH VERSION INAWEZA KUPATIKANA, TUNAOMBA IBANDIKWE HAPA ILI WATU TUANZE KAMPENI.
Sijasema hoja za upizani hazina chembe ya ukweli. Nilichosema ni kwamba shutuma alizotoa Dr Slaa zina ushahidi hafifu. Put it differently, ushahidi alionao Dr Slaa ni dhaifu kwa shutuma alizotoa. Na nitaendelea kusema hivi hadi nitakapoona ushahidi mwingine.
Walisema kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala. Naona huyo mwenye nyumba sasa analala kwa starehe zaidi.
Sijawahi kusikia mwanasheria maarufu anasema kwamba eti hawezi kudai fidia kwa kuchafuliwa jina kwa kuwa mchafuaji wa jina hana fedha! Mkono ni mwanasheria maarufu ndani na nje ya Tanzania, hawezi kutoa kauli kama hiyo huku jina lake likiwa limechafuliwa. Njia pekee ya kujisafisha ingekuwa ni yeye kwenda mahakamani ili asije akaharibu biashara zake za ndani na nje ya nchi. Ukishaona statement kama hizo hiyo ni dalili tosha kwamba mambo si shwari na hizo tuhuma zina ukweli, na wala siyo kwamba tuhuma hizo zina ushahidi hafifu.
kumbe uwakili ni mali...Duuh!!
Mkono ni mwanasheria maarufu ndani na nje ya Tanzania................