Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Hii ni danganya toto haendi mtu mahakamani kwani wanajua wataumbuka wanajibu presha za nje tuu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"But tumwonee huruma JK jamani anatia huruma kweli mwee" (Joke)
[/QUOTE]QUOTE=Jasusi;76951]Na Mugongo Mugongo kajificha wapi? Tora Bora?
Wakuu wote hapo juu heshima mbele kazi nzuri. Taifa linatusubiri ili tuliokoe kutoka kwenye mikono ya mafisadi walafi wachache ambao bado wako kwenye usingizi wa pono wakati kulipambazuka zamani, wanafikiria Tanzania ni yao peke yao na familia zao.
Wazo - pale chini kuomba apology kama member atapata ujumbe kama huo zaidi ya mara mbili? Kwa kasi hii kuna uwezekano kabisa wa some MP's kupata more tha 50 e-mails na vile vile balozi zao tayari wana hard copy. Tupo wengi hapa.
Mimi nilikuwa na maswali kwa hawa mafisadi na bado sijapata majibu, hivi wanapokaa mezani kula chakula na familia zao huwa wanawaambia watoto wao kitu gani? Wanawafikiriaje WTZ wenzao? Wanayaonaje maisha yao? Je utakapofika wakati wa kuwaburuza mahakamani watamlaumu nani?
Huyu ndiye anatumiwa ku-facilitate malipo hewa, Je anafikiri atakwenda kujificha Canada, Australia, UK, SA, Uarabuni, etc wakati WTZ watakapokuwa wanadai kilicho chao.
Huyu mtu kama siyo jambazi ni nani?
Fisadi... Am I right?