List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

Mkuu mashine za kukobolea mahindi zinapatikanaje? packaging na kuweka nembo vile vile?

Hii biashara nimeelezwa kuwa ina faida sana..

Mashine za kukumbolea mahindi unaweza ukazipata kutegemea na ukubwa wa mashine yenyewe.

ikiwa complite na mashine yake unaweza ukapata kwa tsh laki 8, neenda posta bara bara ya morogoro road unatakutana na maduka ya mashine hizo.
 
Last edited by a moderator:
anayatengeneza vipi mkuu?

Hebu tupe ufafanuzi zaidi..

Sikuchimba sana kiundani ila katika dodosa zangu ni kwamba jamaa anamatanki anavuna maji ya mvua kisha anafanyia treatment then anayapaki kwenye chupa za kawaida kama hizi za maji ya kawaida eg uhai sayona alafu anasambaza kwenye maduka kwa kutumia pick up zake. Hajasambaaa sana ila anauza kinomanoma.
 
nimekuelewa mkuu inaonekana jamaa anaweka na order maalum za kutengenezewa chupa kwa ajili ya kujazia hayo maji, kutengenezewa nembo vile vile. ni wazo zuri sana la biashara.
Tatizo linakuja kwenye msingi wa kupata matenki hayo kama kuanzia lita 10,000 na zaidi!

ama mkuu inawezekana kuchimba kisima chenye uwezo wa kujaza maji zaidi ya lita laki 1 kisha kuyafanyia treatment?
 

Yeah kuwa na kiwanda cha maji sio lazima chupa utengeneze mwenyewe coz ni expensive mtambo wake....unaweza. ukatengeneza kisha ukaoda vyupa vya kufungaahia ukawa unafanya sealed tu.

Hapa ni lazima uwe na matenki. makubwa na dawa ni kuyachimba chini sababu ata uvunaji wa maji ya mvua utakuwa mrahisi. Mfano wa matenki tunayoifadhia uchafu majumbani then haya yanakuwa na muinuko kidogo mpaka juu. Ungekuwa umeshafika Handeni ungenielewa kirahisi wanafanya sana hii ya kuvuna maji ya mvua na kuhifadhi.


Kuhusu treatment ya maji mimi sio mtaalam huko ila nahisi lazima uwe na mtambo fulani mdogo wa kuvuta maji ,kuyachemsha na kuyachanganya. So ishu kubwa hapa ni hiyo. mashine. Na nchi hii ina tatizo sana la mitambo midogo nilienda sido pale nikakuta mimashine ya kusaga nafaka ndio imejaa.

Kuna mtambo nilikuwa natafuta niliangaika sana sasa imebidi nijichange niuagize nje coz nilienda sido mpaka na laptop nikawaonyesha video zake na kila kitu nilidownload wakaishia kunipiga danadana si makao makuu wala vingunguti wote weupe tu.
 
mimi jamani mwenye uwezo wa kutengeneza viberiti naamini nitapiga sana bao mwenye ufahamu wa mashine na jinsi ya utengenezaji

nimewai kujaribu kufatilia nikagundua vifungashio ndio ghali kwenye biashara hii maana me mbaya sana nimegundua njia rahisi ya kuzalisha njiti na baruti pasipo kuwa na masine kama viwandani.
 

Sijakuelewa mimi.
 
kumbe unataka ushauri
 


Mkuu unajua hii iko poa sana..
 
Ila naskia skia juujuu kwamba toothpick zinalipa ila sijapata mtu wa kunipa details kamili nataka nijaribu kuhusu viwanda vidogo vidogo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…