List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

Yeah kuwa na kiwanda cha maji sio lazima chupa utengeneze mwenyewe coz ni expensive mtambo wake....unaweza. ukatengeneza kisha ukaoda vyupa vya kufungaahia ukawa unafanya sealed tu.

Hapa ni lazima uwe na matenki. makubwa na dawa ni kuyachimba chini sababu ata uvunaji wa maji ya mvua utakuwa mrahisi. Mfano wa matenki tunayoifadhia uchafu majumbani then haya yanakuwa na muinuko kidogo mpaka juu. Ungekuwa umeshafika Handeni ungenielewa kirahisi wanafanya sana hii ya kuvuna maji ya mvua na kuhifadhi.


Kuhusu treatment ya maji mimi sio mtaalam huko ila nahisi lazima uwe na mtambo fulani mdogo wa kuvuta maji ,kuyachemsha na kuyachanganya. So ishu kubwa hapa ni hiyo. mashine. Na nchi hii ina tatizo sana la mitambo midogo nilienda sido pale nikakuta mimashine ya kusaga nafaka ndio imejaa.

Kuna mtambo nilikuwa natafuta niliangaika sana sasa imebidi nijichange niuagize nje coz nilienda sido mpaka na laptop nikawaonyesha video zake na kila kitu nilidownload wakaishia kunipiga danadana si makao makuu wala vingunguti wote weupe tu.
kwa tanzania biashara ya maji ya kunywa sio biashara ndogo kama unavyodhani kisa sio mtaji tu bali urasimu wa serikali yetu hapo mpaka TFDA wakupe kibali utapewa check list ya vitu kama 100 .watakagua mashine,kiwanda,watataka uajiri mtaalamu wa food processing mwenye shahada,gharama ya kufanya followup ya hizo chemicals za kuyatreat nk,muulize jaydee na maji yake
 
kwa tanzania biashara ya maji ya kunywa sio biashara ndogo kama unavyodhani kisa sio mtaji tu bali urasimu wa serikali yetu hapo mpaka TFDA wakupe kibali utapewa check list ya vitu kama 100 .watakagua mashine,kiwanda,watataka uajiri mtaalamu wa food processing mwenye shahada,gharama ya kufanya followup ya hizo chemicals za kuyatreat nk,muulize jaydee na maji yake[/QUOTE
Mkuu km unampango wa kuanzisha kuhusu suala la Food processing ,ni PM nitakusaidia bt nitakusaidia katika kusajiri TFDA na TBS pekee
 
kwa tanzania biashara ya maji ya kunywa sio biashara ndogo kama unavyodhani kisa sio mtaji tu bali urasimu wa serikali yetu hapo mpaka TFDA wakupe kibali utapewa check list ya vitu kama 100 .watakagua mashine,kiwanda,watataka uajiri mtaalamu wa food processing mwenye shahada,gharama ya kufanya followup ya hizo chemicals za kuyatreat nk,muulize jaydee na maji yake


wee hutaki quality control? unataka kulisha/kunywesha watu vinyesi? pumbaaaaaav
 
Mie najaribu kutengeneza kiwi au sio matumbo vipi idea hyo
 
Last edited by a moderator:
1. Mashine za kuchakata mazao (alizeti, mahindi, pamba n.k)
2. Machinjio ya kati (slaughter house) na kukata nyama kwa viwango, hii inalipa sana kwenye maeneo ya ufugaji maana raia wanauziwa nyama isiyokuwa na viwango.
3. Kukausha nyama ya pori
 
Kutengeneza sabuni

Nilitaka kuanzisha hiki "kipurojekti", ila jamaa ambaye alitaka kunifunza magumashi sana!! Mara material hana mara sijui nini na nini aaaah!! Mpaka nikachukia kwa kweli

Mi nilitaka kuanzia sabuni za mche na kuogea. Detergents ingekuja baadae sana
 
1. mobile toilets business
2. house flipping business
3. Renovate, Operate, Transfer..kuna watu uswazi wana nyumba zimechakaa, wanakusanya kodi kidogo mno, unaingia nao mkataba, una convert nyumba kulingana na soko, au unaipendezesha, unaifanya ya status flani, unakodisha kwa gharama kubwa kidogo, baada ya kupata Return on Investment na kupata faida, au baada muda mliokubaliana, unamrudishia nyumba yake.. Unaenda sehemu nyingine and you do the same,.

Mkuu nimeipenda hii.
 
Nilitaka kuanzisha hiki "kipurojekti", ila jamaa ambaye alitaka kunifunza magumashi sana!! Mara material hana mara sijui nini na nini aaaah!! Mpaka nikachukia kwa kweli

Mi nilitaka kuanzia sabuni za mche na kuogea. Detergents ingekuja baadae sana

Mbona rahisi tuu ila isue iko kwenye material, kama kunashida ya kupata raw material hakuna kinChowezekana
 
Back
Top Bottom