Ansah Miles
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 392
- 175
Mnaofikiria biashara ya unga wa sembe ni bora zaidi ukinunua mahindi mikoani hasa kipindi cha mavuno kinachoanzia mwezi wa tano mwishoni gunia mojanhufika hadi sh 15 elfu yanapigwa dawa unayahifadhi ghalani tayari kwa uzalishaji muda wowote..
Wazo zuri kiongozi