List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

Tushirikiane tuweke orodha ndefu ya aina za viwanda vidogo ambavyo mtu anaweza kuanzisha katika jamii yake, mkoa wake au nchini kwa ujumla. Tuwe serious;

1. Toothpick industry
2. Take away plates industry
3. ...........
4. ...........


ONGEZEA MAWAZO YAKO, KILA MTU ATACHAGUA ANALOLIPENDA NA AKALITUMIE KATIKA JAMII YAKE


Posted by: SUPU YA MAWE
Kwa wajasiriamali wanaanza au wale wadogo nawashauri msianzishe kiwanda/viwanda ambavyo itakulazimu kuagiza raw materials toka nje ya nchi.

Kwa mfano kiwanda cha kutengeneza pvc pipes ni rahisi na mtaji wake ni mdogo kwa maana initial investment capital lakini raw materials lazima uagize nje hapo ndipo utakumbana na changamoto ya TPA na TRA na agency nyingine za serikali. Kwa kuanza ni heri uanze na kitu ambacho raw material utaipata humu humu nchini. Ukishasimama ndipo utaweza ku diversify kwenye hivyo vingine
 
Mawazo mazuri ila mnaishia juu juu, kuna watu wanapesa wanaweza kushawishika kuinvest wakakosa nyama....ila thread nimeipenda.

Naona idea nyingi ni za uzalishaji,unajua ni ngumu sana kuwa na biashara kubwa kwa kufanya uchuuzi wa bidhaa za mwenzako. Utaishia tu kuwa mfanyabiashara wa kati,haya mambo ya kuigana kufungua bar,barber shop,guest house,boutique utaishia kuwa mchuuzi.

Kuna biashara kama ya fenicha, vifungashio, viungo vya chakula,pedi nk.

Niliona mshikaji mmoja Kenya anatengeneza maji ya mvua anauza. Nilipenda sana idea yake sijui kibongobongo watu kama wataielewa coz jamaa yupo mtaani bado hajakua kivile ila anauza sana.
Halafu maji ya mvua ya ukweli kinoma
 
Biashara ya kuokota makopo kama cheka.
Mawazo mazuri ila mnaishia juu juu, kuna watu wanapesa wanaweza kushawishika kuinvest wakakosa nyama....ila thread nimeipenda.

Naona idea nyingi ni za uzalishaji,unajua ni ngumu sana kuwa na biashara kubwa kwa kufanya uchuuzi wa bidhaa za mwenzako. Utaishia tu kuwa mfanyabiashara wa kati,haya mambo ya kuigana kufungua bar,barber shop,guest house,boutique utaishia kuwa mchuuzi.

Kuna biashara kama ya fenicha, vifungashio, viungo vya chakula,pedi nk.

Niliona mshikaji mmoja Kenya anatengeneza maji ya mvua anauza. Nilipenda sana idea yake sijui kibongobongo watu kama wataielewa coz jamaa yupo mtaani bado hajakua kivile ila anauza sana.
Naweza kuipata YouTube au unaweza kuweka info za kutosha?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Wazo langu ni kuikuza biashara yang ya kuuza nyanya niweze kupack na kusambaza sehem mbali mbali.
Lakini sijui nianzie wapi.
 
kwa tanzania biashara ya maji ya kunywa sio biashara ndogo kama unavyodhani kisa sio mtaji tu bali urasimu wa serikali yetu hapo mpaka TFDA wakupe kibali utapewa check list ya vitu kama 100 .watakagua mashine,kiwanda,watataka uajiri mtaalamu wa food processing mwenye shahada,gharama ya kufanya followup ya hizo chemicals za kuyatreat nk,muulize jaydee na maji yake
Tatizo yeye alikuja na mkwara mzito hadi kuwatishia samaki wakubwa kwahiyo pin [emoji419] ikahusika hapa nathani jamaa anaongelea kiwanda cha kimta zaidi
 
Mwenye idea ya uzalishaji wa pea nut better naomba anisaidie..kuanzia mashine mpaka...
FYI: Picha ina maelezo yote.
PhotoGrid_1545887071978.jpeg
PhotoGrid_1579576225743.jpeg
PhotoGrid_1579579376410.jpeg
PhotoGrid_1564786442392.jpeg
 
Wazo langu ni juu ya kupata Mkaa kutokana na Pumba za mpunga.
Kwa kutumia machine rahisi.
Huku ninakoishi kuna miti ya kupandwa ikipasuliwa inanukia kama ubani. Tunatumia kuwashia Mkaa kwa urahisi. Je katika Ulimwengu wa ujasiriamali idea hili inaweza kuuzikana?
Wazo jingine la ujasiliamali wajuzi mtuelekeze namna ya kupanda uyoga wa bei rahisi. Je biashara ikiwini haiwezi kumtoa mtu?
FYI
PhotoGrid_1503459216248.jpeg
 
Kiwanda kidogo kitakacho jishughulisha na kufany Good packaging ya vyakula na mazao ya vyakula na kuuza jumla kwa supermarkets yaani hauwez nambia tunashindw hata ku pack nyanya au mchicha vzuri na kuuza kwa Food Lovers na TSN.? fanya ununue mchicha k/koo fungu 350 na kupack ni 250 total 600 kule FoodLovers unaend uza kwa 1,000 profit 400 kwa bunch 100 profit ni 40,000 huo ni mchicha tu fanya na mboga zingine kama 6 hvi unawez ingza almost 200k per day..
Na hyo ni mboga mboga tu ukifanya na uyoga.? Dagaa wakavu.? Nyanya.? Bamia.?
.
PhotoGrid_1523016600095.jpeg
PhotoGrid_1531974241911.jpeg
PhotoGrid_1574122439303.jpeg
PhotoGrid_1545882401501.jpeg
PhotoGrid_1522162097744.jpeg
PhotoGrid_1559723135066.jpeg
 
Tushirikiane tuweke orodha ndefu ya aina za viwanda vidogo ambavyo mtu anaweza kuanzisha katika jamii yake, mkoa wake au nchini kwa ujumla. Tuwe serious;

1. Toothpick industry
2. Take away plates industry
3. ...........
4. ...........

ONGEZEA MAWAZO YAKO, KILA MTU ATACHAGUA ANALOLIPENDA NA AKALITUMIE KATIKA JAMII YAKE


Posted by: SUPU YA MAWE
FYI.......
PhotoGrid_1544018386554.jpeg
PhotoGrid_1544019151549.jpeg
PhotoGrid_1544019950890.jpeg
 
Back
Top Bottom