List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

sijui kama vina sifa za viwanda vidogo?
1. kiwanda cha kutengeneza vyombo vya udongo. sahani za bati na hasa za plastic watu hawazipendi siku hizi.

2. kutengeneza chupi, boxer, sox na kaushi za pamba. nyuzi za plastic watu hawapendi zinaleta fungasi.

3. kutengeneza mikanda na wallet za ngozi. utahitaji kufanya tanning, sijui kama itakuwa rahisi.
 
Pia kama unapendelea mambo ya computer jiingize kwenye domain registration, web hosting, na website development. Unaweza kujiunga na watu kama Website Hosting Services, VPS Hosting & Dedicated Servers - HostGator, unalipia kwa mwezi $ 60 wanakupa disk space 160 GB, bandwidth 1200 GB, Domains unlimited. Kazi yako inakuwa kutafuta walau wateja 20 kwa mwezi kila mmoja akulipe tsh 50,000 kwa ajili ya domain registration na web hosting, utapata 1M ambayo inatosha kulipa hostgator na kubaki na mshiko wako. Hapo hujaanza kudevelop websites, na kuzimaintain. Mambo yakiwa super unanunua disk space na bandwidth kubwa zaidi. Unaweza kutengeneza websites kwa kutumia WordPress, no coding required.
 
Pia kama unapendelea mambo ya computer jiingize kwenye domain registration, web hosting, na website development. Unaweza kujiunga na watu kama Website Hosting Services, VPS Hosting & Dedicated Servers - HostGator, unalipia kwa mwezi $ 60 wanakupa disk space 160 GB, bandwidth 1200 GB, Domains unlimited. Kazi yako inakuwa kutafuta walau wateja 20 kwa mwezi kila mmoja akulipe tsh 50,000 kwa ajili ya domain registration na web hosting, utapata 1M ambayo inatosha kulipa hostgator na kubaki na mshiko wako. Hapo hujaanza kudevelop websites, na kuzimaintain. Mambo yakiwa super unanunua disk space na bandwidth kubwa zaidi. Unaweza kutengeneza websites kwa kutumia WordPress, no coding required.


Mkuu hii IDEA yako kama ina manukato na harufu nzuri ambayo yamenivutia Kiongozi ningependa kupata HAMASA ZAIDI unaweza kunipa maelezo kidogo hapo kwenye RED mkuu,thanks a lot.
 
sijui kama vina sifa za viwanda vidogo?
1. kiwanda cha kutengeneza vyombo vya udongo. sahani za bati na hasa za plastic watu hawazipendi siku hizi.

2. kutengeneza chupi, boxer, sox na kaushi za pamba. nyuzi za plastic watu hawapendi zinaleta fungasi.

3. kutengeneza mikanda na wallet za ngozi. utahitaji kufanya tanning, sijui kama itakuwa rahisi.

Red Giant una maelezo yakutosha kuhusiana na kiwanda cha kutengeneza hiyo mikanda na wallet? Kama ndio tafadhali mwaga vitu hapa tuone kama tunaweza. Natanguliza shukrani
 
Red Giant una maelezo yakutosha kuhusiana na kiwanda cha kutengeneza hiyo mikanda na wallet? Kama ndio tafadhali mwaga vitu hapa tuone kama tunaweza. Natanguliza shukrani
sina mkuu ila najua ngozi inabidi kulainishwa kwanza. wanalainishia kemikali fulani inatoka kwenye miti ya miwati. nafikiri hii ndiyo ngumu labda na kudesign ila kutengeneza haiwezi kuwa ishu.
 
sina mkuu ila najua ngozi inabidi kulainishwa kwanza. wanalainishia kemikali fulani inatoka kwenye miti ya miwati. nafikiri hii ndiyo ngumu labda na kudesign ila kutengeneza haiwezi kuwa ishu.

Okay
Nadhani suala la ngozi ni vizur kununua iliyokwisha tengenezwa tayari kwa matumiz ili upate product nzuri na competitive japo sijui bei yake kama itakua nzuri
 
Event planner(harusi, mikutano, matamasha na kadhalika)

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Mkuu conjuget ,naomba unisaidie kidogo kunieleza kuhusu aina hii ya uwelezaji
 
Last edited by a moderator:
Cornflakes making, very cheap ila wanaziuza ghali sana (Nimeshaifikiria Pia anayetaka tufanye aje na 10m yake ani PM)
Misumari making.
Plastic spoons
Disposable lunch boxes za alluminium.
 
Unayapeleka wapi hayo mawazo ? Nieleze ndipo nikupe ya kwangu
 
Mnaofikiria biashara ya unga wa sembe ni bora zaidi ukinunua mahindi mikoani hasa kipindi cha mavuno kinachoanzia mwezi wa tano mwishoni gunia mojanhufika hadi sh 15 elfu yanapigwa dawa unayahifadhi ghalani tayari kwa uzalishaji muda wowote..
 
Mkuu conjuget ,naomba unisaidie kidogo kunieleza kuhusu aina hii ya uwelezaji

Inategemea na event, unapoanza ni vizuri ukaspesholaiz kwenye aina fulani ya event. Mfano maulidi au vpaimara ukishakua na hema la turubai la kukodisha inatosha kwa kuanzia na music system ya kawaida na mic.

We ulitaka event ya namna hipi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom