Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Kwamba na wewe unaamini USA inaweza kuongozwa na rais mwanamke? Hillary Clinton si alifanyiwa FITINA kabisa though alishinda? Kamara hata yeye anajua kama yupo kumsindikiza mwamba; America will never be ruled by a woman, never. Kuhusu jinsia, America hawana tofauti na Islamic countriesSema siasa za marekani zina mahesabh makali saana jua linaweza kuzama ukiamini ni Trump kukicha unashangaa ni kamala
This is true ni mapema sana Marekani kuongozwa na Mwanamke.Kwamba na wewe unaamini USA inaweza kuongozwa na rais mwanamke? Hillary Clinton si alifanyiwa FITINA kabisa though alishinda? Kamara hata yeye anajua kama yupo kumsindikiza mwamba; America will never be ruled by a woman, never. Kuhusu jinsia, America hawana tofauti na Islamic countries
Udhaifu gani?Trump ni dhaifu sana.
Kwa kutumia hao celebrities unadhani nani ana watu wengi?Hakuna lolote, Kamala hawezi kumzidi Trump hata kidogo. Poleni ambao
mnataka kuzamia Marekani kinyemela naona mpo kwenye denial.
Ni Ukweli usiofichika kwamba Donald Trump ana nafasi kubwa zaidi ya kushinda kiti cha Urais nchini Marekani, japokuwa Mimi binafsi ningependa zaidi Kamala Harris achukue ushihdi.Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani
Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.
Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.
Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
View attachment 3139102
Kuna uwezekano siasa za Marekani hauzijuiHakuna lolote, Kamala hawezi kumzidi Trump hata kidogo. Poleni ambao
mnataka kuzamia Marekani kinyemela naona mpo kwenye denial.
Kwa sababu gani unapendelea Kamala Harris.Ni Ukweli usiofichika kwamba Donald Trump ana nafasi kubwa zaidi ya kushinda kiti cha Urais nchini Marekani, japokuwa Mimi binafsi ningependa zaidi Kamala Harris achukue ushihdi.
Marekani ina hitaji Raisi shupavu huyo mama hata wezaKuna uwezekano siasa za Marekani hauzijui
Sababu zipo nyingi Sana.Kwa sababu gani unapendelea Kamala Harris.
Ziweke bayana tukueleweSababu zipo nyingi Sana.
Kabisa itakuwa aibu kwa Marekani, Biden tuu uzee umemuondoaTrump atashinda mapema Sana.
Mwanamke kamwe hawezi kuiongoza Marekani hata siku moja
kama huyu tulie naeWale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.
Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
Kwa kifupi mkuu tuambie upepo ukoje huko?Kwa ufahamisho neno sahihi ni Electoral votes na si Electro votes.
Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani
Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.
Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.
Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
View attachment 3139102
Pdidy kafanyajePdidy?
Yuko upande ganiPdidy kafanyaje