List ya Celebrities waonamuunga mkono Kamala Vs Trump Uchaguzi wa Marekani

List ya Celebrities waonamuunga mkono Kamala Vs Trump Uchaguzi wa Marekani

Sema siasa za marekani zina mahesabh makali saana jua linaweza kuzama ukiamini ni Trump kukicha unashangaa ni kamala
Kwamba na wewe unaamini USA inaweza kuongozwa na rais mwanamke? Hillary Clinton si alifanyiwa FITINA kabisa though alishinda? Kamara hata yeye anajua kama yupo kumsindikiza mwamba; America will never be ruled by a woman, never. Kuhusu jinsia, America hawana tofauti na Islamic countries
 
Kwamba na wewe unaamini USA inaweza kuongozwa na rais mwanamke? Hillary Clinton si alifanyiwa FITINA kabisa though alishinda? Kamara hata yeye anajua kama yupo kumsindikiza mwamba; America will never be ruled by a woman, never. Kuhusu jinsia, America hawana tofauti na Islamic countries
This is true ni mapema sana Marekani kuongozwa na Mwanamke.

Hillary Clinton alikuwa famous na powerful kuliko huyo Kamala ila
Electerol college ilimtosa.
 
Hakuna lolote, Kamala hawezi kumzidi Trump hata kidogo. Poleni ambao

mnataka kuzamia Marekani kinyemela naona mpo kwenye denial.
Kwa kutumia hao celebrities unadhani nani ana watu wengi?

Sema hao wa Trump siyo wa urban na suburban. Wengi ni wa small towns ambapo kwenye electoral college wana nguvu sawa na hao wengine wa urban na suburban ambao watatoa ushindi wa popular votes.

Mfano Taylor Swift na Beyonce wana nyomi za kufa mtu. Na wengi ni hao gen z.
 
Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani

Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.

Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.

Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.

View attachment 3139102
Ni Ukweli usiofichika kwamba Donald Trump ana nafasi kubwa zaidi ya kushinda kiti cha Urais nchini Marekani, japokuwa Mimi binafsi ningependa zaidi Kamala Harris achukue ushihdi.
 
Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.

Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
kama huyu tulie nae
 
Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani

Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.

Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.

Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.

View attachment 3139102

Pdidy?
 
Back
Top Bottom