List ya sarafu za Afrika kuanzia ile ambayo ina nguvu zaidi hadi ile ambayo haina nguvu. Kenya ipo vizuri, Tanzania inavuta mkia

List ya sarafu za Afrika kuanzia ile ambayo ina nguvu zaidi hadi ile ambayo haina nguvu. Kenya ipo vizuri, Tanzania inavuta mkia

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Hawa jirani zetu Tanzania na Uganda huwa wanatuaibisha sana. Kenya tuna upweke sana ukanda huu. Ukanda huu sarafu zote isipokuwa ya Kenya ni za madafu. Halafu kumbe sarafu ya Tanzania ndio mbovu kuliko zote Afrika dhidi ya dollar ya Marekani? Yaani mna sarafu nyonge sana.

IMG_20220301_161604_814.jpg
 
So sarafu yenu kuwa juu ya sarafu zote za Africa itaondoa ukweli kwamba mpk Leo mnakufa kwa njaa? Itaondoa ukweli kwamba mpk Leo hamuwezi kujenga hata km 5 za road pasipo mkopo? Itaondoa ukweli kwamba mnaongoza kwa ma slums everywhere in East and Central Africa? Itaondoa ukweli kwamba mpk Leo mnakufa kwa magonjwa ya aibu kama kipindupindu?

Au itaondoa ukweli kwamba Tz inafanya projects zenye gharama zaidi kuliko projects zote zinazofanywa na nchi zote za EA combined? Fikiri kabla ya kuongea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tunashindana Na Uganda [emoji23]
Thamani ya sarafu zenyewe zikilinganishwa na USD sio jambo la muhimu sana. Ikiwa thamani ya sarafu hizo ni 'constant', yaani haishuki ovyo ovyo kila mara. Ila jambo ambalo huwa linanishangaza sana ni kwamba miongo mitano hivi iliyopita hali ilikuwa ni 1 KES=1 Tzsh=1Ugsh.
 
Bongo kuitwa bilionea ni rahisi sana, ukidunduliza hayo madafu yao kwa muda mfupi yanasoma bilioni, ila jaribu ubadilishe ziwe dollar au Kshs ndio utalilia kwa choo.
 
Bongo kuitwa bilionea ni rahisi sana, ukidunduliza hayo madafu yao kwa muda mfupi yanasoma bilioni, ila jaribu ubadilishe ziwe dollar au Kshs ndio utalilia kwa choo.

Ndio maana tajiri mwenye akili ana calculate hesabu zake kwa dollar, kwenye manunuzi Kenyan Shilling ina nguvu sana
 
Bongo kuitwa bilionea ni rahisi sana, ukidunduliza hayo madafu yao kwa muda mfupi yanasoma bilioni, ila jaribu ubadilishe ziwe dollar au Kshs ndio utalilia kwa choo.

Badala ya kubisha ukweli kuwa ukibadirisha gunia ya shilling za Tanzania upate $$$ unapata bahasha kutoka kwenye gunia lako, fanyeni tathmini ya uchumi wa nchi!! Sasa hatua gani zichukuliwe kuifanya sarafu yetu iwe na nguvu? Punguzeni siasa fanyeni kazi!!!
 
Badala ya kubisha ukweli kuwa ukibadirisha gunia ya shilling za Tanzania upate $$$ unapata bahasha kutoka kwenye gunia lako, fanyeni tathmini ya uchumi wa nchi!! Sasa hatua gani zichukuliwe kuifanya sarafu yetu iwe na nguvu? Punguzeni siasa fanyeni kazi!


Unajua Hela ya South korea ingekuepo hapo ingekuwa top 5 ya mwisho..je kuna nchi ya kuizidi GDP au per capital ya south korea ..Africa ?
Nchi nyingi za Asia hasa zenye viwanda vingi zinatabia ya kushusha thamani ya pesa zao ili waweze kuuza nje zaid
 
Badala ya kubisha ukweli kuwa ukibadirisha gunia ya shilling za Tanzania upate $$$ unapata bahasha kutoka kwenye gunia lako, fanyeni tathmini ya uchumi wa nchi!! Sasa hatua gani zichukuliwe kuifanya sarafu yetu iwe na nguvu? Punguzeni siasa fanyeni kazi!!!

Huyo MK254 yeye unamuonea bure ni Mkenya na sarafu yao ipo juu, tumeshawahi kuandika hapa pesa yetu kutokua na nguvu kwenye manunuzi watu walitujibu kiujanjaujanja, madini aina zote, hatuna vita, mbuga za wanyama, ardhi yenye rutuba, gas, yote hayo lakini pesa yetu mdebwedo ndio maana kwenye manunuzi huwezi kushindana na Mnyarwanda wala Mkenya
 
Huyo MK254 yeye unamuonea bure ni Mkenya na sarafu yao ipo juu, tumeshawahi kuandika hapa pesa yetu kutokua na nguvu kwenye manunuzi watu walitujibu kiujanjaujanja, madini aina zote, hatuna vita, mbuga za wanyama, ardhi yenye rutuba, gas, yote hayo lakini pesa yetu mdebwedo ndio maana kwenye manunuzi huwezi kushindana na Mnyarwanda wala Mkenya

Wabongo mnathamini sana mambo ya siasa kuliko mambo ya uchumi katika maisha yenu!!! Sherehe nyingi zisizo na maana kujipongeza kwa mambo ya hovyo huku mkitumia fedha chungu nzima!!! You are financially a poor country but you portray a behavior as if you are rich!!!
 
Huyo MK254 yeye unamuonea bure ni Mkenya na sarafu yao ipo juu, tumeshawahi kuandika hapa pesa yetu kutokua na nguvu kwenye manunuzi watu walitujibu kiujanjaujanja, madini aina zote, hatuna vita, mbuga za wanyama, ardhi yenye rutuba, gas, yote hayo lakini pesa yetu mdebwedo ndio maana kwenye manunuzi huwezi kushindana na Mnyarwanda wala Mkenya
Mkuu pesa yako ikiwa juu na huzalishi sana kuuza nje sio afya kwa uchumi sababu ni rahisi kuwa na shortage ya pesa ya kigeni otherwise uwe na vivutio vingi vya utalii ili uweze kutengeneza pesa ya kigeni
 
Mkuu pesa yako ikiwa juu na huzalishi sana kuuza nje sio afya kwa uchumi sababu ni rahisi kuwa na shortage ya pesa ya kigeni otherwise uwe na vivutio vingi vya utalii ili uweze kutengeneza pesa ya kigeni

Kenya wanaexport sana bidhaa za viwandani, chai, lakini wana diaspora inayorudisha pesa ya kueleweka sana nchini kwao, Sudan kusini anauza sana mafuta, hoja hapa ni kwa nini shilingi ya Tanzania iko chini wakati tuna kila sababu ya pesa yetu kua na nguvu tuache mentality za kijamaa tujadili kwa uwazi kabisa
 
Back
Top Bottom