List ya sarafu za Afrika kuanzia ile ambayo ina nguvu zaidi hadi ile ambayo haina nguvu. Kenya ipo vizuri, Tanzania inavuta mkia

List ya sarafu za Afrika kuanzia ile ambayo ina nguvu zaidi hadi ile ambayo haina nguvu. Kenya ipo vizuri, Tanzania inavuta mkia

Halafu hua najiuliza kwa nini bidhaa nyingi za viwandanj kutoka Kenya ni bora zaidi kuliko za Tanzania? Kwa mfano sijaona sabuni ya kushindana na jamaa ya kenya, au BIG G original, tatizo kwa viwanda vya Tanzania ni nini? The same kwenye maziwa bidhaa za Brookside ni bora tena kwa sasa Lato milk ya Uganda inachapa mwendo ikiwa Asas , Tanga fresh zinajivuta tatizo ni commitment ya wenye viwanda, technolojia au ni nini ilihali malighafi Tanzania ni nyingi

Sababu ni gharama za uzalishaji wa hizo bidhaa ziko juu hapa bongo.So ili ulete ushindani wa bei sokon inabidi kupunguza ubora ili upate faida. Otherwise huweze shindana na bidhaa hata za malawi.
Bei ya mafuta, umeme na kodi za selikali ni sababu kadhaa zinazoongeza hizi gharama.

Mfano unakumbuka suala la ile sukari ya malawi.. ikabidi tutumie ubabe tusilete sukari kutoka nje. Kulinda viwanda vya ndani. Sababu price ya sukari yao ni ndogo afu quality.
 
Hawa jirani zetu Tanzania na Uganda huwa wanatuaibisha sana. Kenya tuna upweke sana ukanda huu. Ukanda huu sarafu zote isipokuwa ya Kenya ni za madafu. Halafu kumbe sarafu ya Tanzania ndio mbovu kuliko zote Afrika dhidi ya dollar ya Marekani? Yaani mna sarafu nyonge sana.

View attachment 2135261
Hela ya Tanzania na ya South Korea Ina thamani sawa.
Swali linakuja SOUTH KOREA NA KENYA IPI IMEENDELEA!?
 
tz tukubali tuna buruza mkia hivyo tuweke mipango ya kuinua uchumi tuna kila sababu ya kuinuka hapo tulipo siasa haifai kwenye uchumi jamn
Nakubali Hilo.
Ila pesa kuwa na thamani kubwa haimaanishi kuwa na uchumi mkubwa.
Cha muhimu je nchi yetu MAENDELEO ya kijamii na kiuchumi yakoje!?
Kuna nchi hela zao zina thamani kubwa ila MAENDELEO ya kijamii na kiuchumi mabovu mathalan Kenya yenyewe njaa tupu, Mozambique matatizo matupu,Rwanda ndio kabisaaa.
Ila kuna nchi pesa yake Ina thamani ya kawaida Kama South Korea hela yao haijapishana na yetu ila nitajie nchi IPI Afrika inaizidi MAENDELEO ya kiuchumi na kijamii SOUTH KOREA!?
 
Hawa jirani zetu Tanzania na Uganda huwa wanatuaibisha sana. Kenya tuna upweke sana ukanda huu. Ukanda huu sarafu zote isipokuwa ya Kenya ni za madafu. Halafu kumbe sarafu ya Tanzania ndio mbovu kuliko zote Afrika dhidi ya dollar ya Marekani? Yaani mna sarafu nyonge sana.

View attachment 2135261
Kwenye mambo ya fedha tunaangalia purchasing power na mambo mengine ya msingi siyo idadi ya sifuri
 
Thamani ya sarafu zenyewe zikilinganishwa na USD sio jambo la muhimu sana. Ikiwa thamani ya sarafu hizo ni 'constant', yaani haishuki ovyo ovyo kila mara. Ila jambo ambalo huwa linanishangaza sana ni kwamba miongo mitano hivi iliyopita hali ilikuwa ni 1 KES=1 Tzsh=1Ugsh.
Tz tulipata kuwa na raisi mzanzibar mpumbavu ndiye aliye ua sarafu yetu kufikia hapo nyerere ameondoka kaacha pesa yetu vuzuri kabisa,tukisema wazenyi ni wapumbavu watu wanasema tunawatukana ,na sasa tunaye huyu muhuni hangaya naye anatualibia tu nchi kila siku anakopa for nothing ,huu upuuzi wa kuwapa wazenji uraisi ni hasara kubwa sana na nasema sidhani kama itatokea tena hii kitu kwa tz
 
Back
Top Bottom