isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Habari 👋🏾
Kumekuwa na wimbi la wachezaji wa soka wanaopewa uwezo ambao kiuhalisia hawana na mara nyingi wanakuzwa na waandishi wenye mawazo hasi na vyombo vya habari vilivyojijenga katika propaganda.
Tafiti ndogo niliyofanya inaonyesha wachezaji kuwa overrated hutokana na chuki dhidi ya klabu husika kupelekea klabu nyingine wachezaji wake kukuzwa.
Mfano;- Clouds Media Group ni chombo kilichosheheni chuki dhidi ya klabu ya Arsenal, Arsenal hata icheze na timu gani bado Arsenal itaonyeshwa kuwa dhaifu na wachezaji wa timu pinzani watasemwa kuwa na viwango visivyoweza kuhumilika.
-
Hawa ni baadhi ya wachezaji OVERRATED
0. Thomas Partey
1. Phil Foden
2. Jack Grealish
3. Marcus Rashford
4. Timo Werner
5. Anthony Martial
6. Gabriel Jesus
7. Joao Felix
8. Son Hyeung Min
9. Sadio Mane
10. Mohammed Salah
11. Richarlson
12. Çağlar Soyuncu
13. Miguel Almiron
14. Bernard Morrison
15. Bernardo Silva
16. Alexander Arnold
17. Naby Keita
18. Nicolas Pepe
19. Wilfred Zaha
20. Mason Greenwood
21. Scott McTominay
22. Cristian Pulisic
Hawa ni baadhi tu, unaweza kuongeza wachezaji overrated.
Kumekuwa na wimbi la wachezaji wa soka wanaopewa uwezo ambao kiuhalisia hawana na mara nyingi wanakuzwa na waandishi wenye mawazo hasi na vyombo vya habari vilivyojijenga katika propaganda.
Tafiti ndogo niliyofanya inaonyesha wachezaji kuwa overrated hutokana na chuki dhidi ya klabu husika kupelekea klabu nyingine wachezaji wake kukuzwa.
Mfano;- Clouds Media Group ni chombo kilichosheheni chuki dhidi ya klabu ya Arsenal, Arsenal hata icheze na timu gani bado Arsenal itaonyeshwa kuwa dhaifu na wachezaji wa timu pinzani watasemwa kuwa na viwango visivyoweza kuhumilika.
-
Hawa ni baadhi ya wachezaji OVERRATED
0. Thomas Partey
1. Phil Foden
2. Jack Grealish
3. Marcus Rashford
4. Timo Werner
5. Anthony Martial
6. Gabriel Jesus
7. Joao Felix
8. Son Hyeung Min
9. Sadio Mane
10. Mohammed Salah
11. Richarlson
12. Çağlar Soyuncu
13. Miguel Almiron
14. Bernard Morrison
15. Bernardo Silva
16. Alexander Arnold
17. Naby Keita
18. Nicolas Pepe
19. Wilfred Zaha
20. Mason Greenwood
21. Scott McTominay
22. Cristian Pulisic
Hawa ni baadhi tu, unaweza kuongeza wachezaji overrated.