isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
-
- #21
Kwa kutumia bolded words hukutakiwa kuhusisha mawazo yangu na uchizi.Siku zote lazima upande mmoja uwe sahihi ama sivyo wote mkae uoande mmoja ambao aidha wote muwe sahihi au wote msiwe sahihi...
Haya nithibitishie kwa vyovyote uwezavyo hata kwa takwimu kuwa salah, mane au son ni overrated
Mkuu sikatai kwamba "wanaupiga mwingi sana" lakini issue hapa ni wanavyoelezwa utadhani ndio watu wa kwanza kucheza mpira kihivyo hasa huyu Phil Foden.Hiyo list mbona Ina watu wanaupiga mwingi sana kwaita overrated sidhani mfano Son, Phoden, Salah & Mane wanaujua sanaaaa!
Jamaa ni anakuzwa sana ila ni mchezaji wa kawaida sana ana vichenga akipiga basi mashabiki wanazuzuka.
Mwingine ni thadeo lwangwa jamaa ni wakawaida kabisa .
Ni kweli mimi ni Arsenal.Arsenal hata icheze na timu gani bado Arsenal itaonyeshwa kuwa dhaifu na wachezaji wa timu pinzani watasemwa kuwa na viwango visivyoweza kuhumilika.
Bila shaka wewe ni Arsenal 😅😅
Tatizo watu hawataki kuambiwa ukweli, hiyo list tu watu hawaelewi, nikitumia kauli ya "Wakawaida kabisa" mashabiki wa 'Liverpool' wanaweza kunitafuta uraiani.Mwingine ni thadeo lwangwa jamaa ni wakawaida kabisa .
jana katuuza na sijui kwann kocha aliamua kuanza naye
nimeshangaa Sana aiseehSiku zote lazima upande mmoja uwe sahihi ama sivyo wote mkae uoande mmoja ambao aidha wote muwe sahihi au wote msiwe sahihi...
Haya nithibitishie kwa vyovyote uwezavyo hata kwa takwimu kuwa salah, mane au son ni overrated