List ya Wachezaji wenye Majivuno na Dharau

CR7 umemwonea ni mtu mmoja poa sana, hata wachezaji wenzake wamethibitisha hilo kwa timu alizocheza. Rooney akiwa mmojawapo akisifia roho nzuri aliyokuwa nayo jamaa.
 
Zapata alimuuliza zlatan unafanya nini hapa na tumeshawaunga mbili, zlatan alimjibu nina magoli mengi kuliko mechi ulizocheza
lukaku alimwambia kama vipi twende nje tukapigane, zlatan alimjibu we anza kutoka mimi utanikuta huko huko
 
Zapata alimuuliza zlatan unafanya nini hapa na tumeshawaunga mbili, zlatan alimjibu nina magoli mengi kuliko mechi ulizocheza
lukaku alimwambia kama vipi twende nje tukapigane, zlatan alimjibu we anza kutoka mimi utanikuta huko huko

Zlatan kiboko sana[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…