permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Diego Costa sijui kama ni kujivuna, bali ni ukorofi uliopitiliza.Cr7
Diego Costa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diego Costa sijui kama ni kujivuna, bali ni ukorofi uliopitiliza.Cr7
Diego Costa
Morrison anajiona kama keki ya TaifaPogba,Morison
Kante
CR7 umemwonea ni mtu mmoja poa sana, hata wachezaji wenzake wamethibitisha hilo kwa timu alizocheza. Rooney akiwa mmojawapo akisifia roho nzuri aliyokuwa nayo jamaa.Wanaojivuna zaidi ni hawa
1 Neema mtoto wa mama
2 Cr7
3 robinho,huyu dogo bahati nzuri hakufika mbali akapotea, kalikuwa kanajiona sana kama demu.
4 Diego costa, japo huwa ananifurahisha sana na fujo zake [emoji3][emoji3]
5 Luis Nani, mwethiopia huyu, jamaa anawivu sana kwa wenzie
6 Asamoa Gyan ni mwafrika ambae sikutokea kumpenda, ana majivuno sana.
Huyu unamsinguzia labda kale kafupi
Na wewe fanya mazoeziRonaldo wa mtumba yule mreno mpaka shedo.. Anajinadi utafikiri ana talent kumbe mazoezi.
Acha mahaba mkuu, dunia nzima inajua huyu jamaa alivyo na majivunoHuyu unamsinguzia labda kale kafupi
Anelka ni clone ya kobe bryant wamefanana balaaMido
El Diof
Anelka
Zapata alimuuliza zlatan unafanya nini hapa na tumeshawaunga mbili, zlatan alimjibu nina magoli mengi kuliko mechi ulizocheza
lukaku alimwambia kama vipi twende nje tukapigane, zlatan alimjibu we anza kutoka mimi utanikuta huko huko
Huyu unamsinguzia labda kale kafupi
Reloy Sane hichi kitoto kinajiona na kina kiburi sanaaa