Litambue Baraza la Mawaziri mwaka 2023 na Majimbo yao

Litambue Baraza la Mawaziri mwaka 2023 na Majimbo yao

Serikali ya majimbo katika katiba mpya
Hata bila majimbo hiyo kanuni inaweza kuwekwa tuu.

Ugatuaji wa madaraka Kwa njia serikali za mitaa ulianza vizuri ila serikali kuu imepora tena
 
Yule mwingine tuliambiwa ana chuki na Northerners.

Naona huyu anawapenda sana ndiyo maana kawajaza barazani na hakuna kelele.
 

MHE. SAMIA SULUHU HASSAN​

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO​

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI​

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)

MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma

Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera

Waziri wa Ulinzi

MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)

MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)

MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi

MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga

Waziri wa Afya

MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida

Waziri wa Fedha na Mipango

MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi

Waziri wa Mambo ya Ndani

MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora

Waziri wa Kilimo

Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita

Minister Of Minerals

MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi

Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga

Waziri wa Nishati

Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma

Waziri wa Sheria na Katiba

MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara

MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga

Waziri wa Maji

MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani

Waziri wa Maliasili na Utalii
Makamba yupo wapi?
 
Tanga na Pwani wana lao jambo kwa Rais Samia
Mawaziri kamili WATATU
Dah
Wenzetu wana bahati
 

MHE. SAMIA SULUHU HASSAN​

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO​

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI​

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)

MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma

Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera

Waziri wa Ulinzi

MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)

MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)

MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi

MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga

Waziri wa Afya

MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida

Waziri wa Fedha na Mipango

MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi

Waziri wa Mambo ya Ndani

MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora

Waziri wa Kilimo

Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita

Minister Of Minerals

MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi

Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga

Waziri wa Nishati

Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma

Waziri wa Sheria na Katiba

MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara

MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga

Waziri wa Maji

MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani

Waziri wa Maliasili na Utalii
Mbona kama umeileta kiushabiki flani hivi...
 
Kwa sasa serikali yetu inaamba ambaa ukanda wa pwani zaidi, Zanzibar, Mtwara, Lindi, Pwani na Tanga.
 
Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0

Kazi iendelee.
Unadhani kungetokea manufaa ya aina gani iwapo wangeteuliwa kutoka hiyo Mikoa? Kuna ndugu yako mwingine naye kaanzisha uzi wa udini kwenye hilo Baraza!

Hivi hao Mawaziri wana msaada gani wa kipekee kwa Mikoa wanayotoka? Mbona matatizo yanayo wasumbua wananchi, bado yako pale pale!!
 
Kilimanjaro yupo Adolf Mkenda (Elimu)

By the way, mikoa iko zaidi ya 35 na mawaziri wanaotakiwa ni less than 26..

So, by any means Kuna baadhi ya mikoa haitatoa waziri hata kama wawe wapo wanaofaa...

Labda kama tunataka tuwe na Caninet ya mawaziri 40..!!

Pia, possibly hiyo mikoa inaweza kuwa imetoa manaibu au watu kwenye higher positions zingine..

NOTE: Kusema ukweli kuwa kiongozi mkuu mahali popote hususani uongozi mkuu wa nchi (yaani RAIS) ni kazi kwelikweli. Hakuna zuri waweza kufanya Kisha Kila mtu aka - appreciate...
Hoja yako haina msingi kwasababu unakuta kwenye mkoa mmoja kuna mawaziri watatu alfumomwingie hamna waziri inamaana wabunge wote wa mkoa huo hawafai kuwa waziri
 

MHE. SAMIA SULUHU HASSAN​

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO​

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI​

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)

MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma

Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera

Waziri wa Ulinzi

MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)

MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)

MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)

MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)

MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi

MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga

Waziri wa Afya

MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida

Waziri wa Fedha na Mipango

MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi

Waziri wa Mambo ya Ndani

MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora

Waziri wa Kilimo

Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita

Minister Of Minerals

MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi

Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga

Waziri wa Nishati

Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma

Waziri wa Sheria na Katiba

MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara

MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga

Waziri wa Maji

MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani

Waziri wa Maliasili na Utalii
Mikoa ya Tanga(3),Pwani(5),Zanzibar(5).Mtanisahihisha kwenye hiyo orodha ya Mawaziri!
 
Back
Top Bottom