Tanzania tuwe na kanuni maalumu ya kugawa rasilimali za Nchi kwenye maeneo badala ya kutegemea ushawishi wa Waziri au Katibu Mkuu,hii mbaya sana.
Hata bila majimbo hiyo kanuni inaweza kuwekwa tuu.Serikali ya majimbo katika katiba mpya
Mkenda ni wapi?Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Makamba yupo wapi?MHE. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)
MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera
Waziri wa Ulinzi
MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga
Waziri wa Afya
MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida
Waziri wa Fedha na Mipango
MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi
Waziri wa Mambo ya Ndani
MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora
Waziri wa Kilimo
Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita
Minister Of Minerals
MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga
Waziri wa Nishati
Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma
Waziri wa Sheria na Katiba
MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara
MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga
Waziri wa Maji
MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo
MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani
Waziri wa Maliasili na Utalii
Mama D upo?Mmeanza😅😅😅😅
Hata Dar ni zero, maza mdini snRukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Wizara yake yenyewe haieleweki, yeye ndo anasimamia wazee wa kazi.Lakini bado yumo tu kwenye uongozi lol
Mbona kama umeileta kiushabiki flani hivi...MHE. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)
MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera
Waziri wa Ulinzi
MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga
Waziri wa Afya
MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida
Waziri wa Fedha na Mipango
MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi
Waziri wa Mambo ya Ndani
MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora
Waziri wa Kilimo
Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita
Minister Of Minerals
MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga
Waziri wa Nishati
Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma
Waziri wa Sheria na Katiba
MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara
MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga
Waziri wa Maji
MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo
MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani
Waziri wa Maliasili na Utalii
Mara 0Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
TakbiiiiiiiiiiiiiiiiirUzi wa kupoteza muda kijinga.
Bye.
Unadhani kungetokea manufaa ya aina gani iwapo wangeteuliwa kutoka hiyo Mikoa? Kuna ndugu yako mwingine naye kaanzisha uzi wa udini kwenye hilo Baraza!Rukwa 0
Katavi 0
Arusha 0
Kilimanjaro 0
Manyara 0
Simiyu 0
Shinyanga 0
Mbeya 0
Songwe 0
Kazi iendelee.
Kwaheri mjinga.Uzi wa kupoteza muda kijinga.
Bye.
Hoja yako haina msingi kwasababu unakuta kwenye mkoa mmoja kuna mawaziri watatu alfumomwingie hamna waziri inamaana wabunge wote wa mkoa huo hawafai kuwa waziriKilimanjaro yupo Adolf Mkenda (Elimu)
By the way, mikoa iko zaidi ya 35 na mawaziri wanaotakiwa ni less than 26..
So, by any means Kuna baadhi ya mikoa haitatoa waziri hata kama wawe wapo wanaofaa...
Labda kama tunataka tuwe na Caninet ya mawaziri 40..!!
Pia, possibly hiyo mikoa inaweza kuwa imetoa manaibu au watu kwenye higher positions zingine..
NOTE: Kusema ukweli kuwa kiongozi mkuu mahali popote hususani uongozi mkuu wa nchi (yaani RAIS) ni kazi kwelikweli. Hakuna zuri waweza kufanya Kisha Kila mtu aka - appreciate...
Tunataka watu kama ninyi jukwaani.Kesho nitaweka manaibu waziri.
Mikoa ya Tanga(3),Pwani(5),Zanzibar(5).Mtanisahihisha kwenye hiyo orodha ya Mawaziri!MHE. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. PHILIP ISDOR MPANGO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. DKT. HUSSEIN ALI MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
MHE. KASSIM MAJALIWA MAJALIWA - Jimbo la Ruangwa - Lindi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MHE. KAPT GEORGE HURUMA MKUCHIKA - Jimbo la Newala Mtwara
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum)
MHE. JENISTA J. MHAGAMA - Jimbo la Peramiho Ruvuma
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA - Jimbo la Karagwe Kagera
Waziri wa Ulinzi
MHE. ANGELLAH J. KAIRUKI - Wa kuteuliwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
MHE. SELEMAN S. JAFO - Jimbo la Kisarawe Pwani
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
MHE. PROF. JOYCE L. NDALICHAKO - Jimbo la Kasulu Mjini Kigoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
MHE. GEORGE B. M. SIMBACHAWENE - Jimbo la Kibakwe Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
MHE. PROF. MAKAME M. MBARAWA - Jimbo la Mkoani Pemba Kusini
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
MHE. UMMY A. MWALIMU - Tanga Mjini Tanga
Waziri wa Afya
MHE. DKT. MWIGULU N. MADELU - Iramba Magharibi Singida
Waziri wa Fedha na Mipango
MHE. MHANDISI HAMAD Y. MASAUNI - Jimbo la Kikwajuni Mjini Magharibi
Waziri wa Mambo ya Ndani
MHE. DKT. STERGOMENA LAWRENCE TAX - Kuteuliwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
MHE. HUSSEIN BASHE - Jimbo la Nzega Mjini Tabora
Waziri wa Kilimo
Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko -Jimbo la Bukombe Geita
Minister Of Minerals
MHE. PROF. ADOLF. F. MKENDA - Jimbo la Rombo Kilimanjaro
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
MHE. NAPE M. NNAUYE - Jimbo la Mtama Lindi
Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
MHE. JANUARI Y. MAKAMBA - Jimbo la Bumbuli Tanga
Waziri wa Nishati
Mhe. Dkt. Angeline Sylvester Lubala Mabula - Jimbo la Ilemela Mwanza
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
MHE. DKT. DAMS D. NDUMBARO - Jimbo la Songea Mjini Ruvuma
Waziri wa Sheria na Katiba
MHE. DKT. DOROTHY O. GWAJIMA - Kuteuliwa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
MHE. DKT. ASHATU K. KIJAJI - Jimbo la Kondoa Dodoma
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara
MHE. JUMA H. AWESO - Jimbo la Pangani Tanga
Waziri wa Maji
MHE. DKT. PINDI H. CHANA - Viti maalumu
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo
MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA - Jimbo la Rufiji Pwani
Waziri wa Maliasili na Utalii
Mama anaupiga mwingi!Mmeanza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]