Venus Star JF-Expert Member Joined Dec 6, 2018 Posts 26,519 Reaction score 78,311 Feb 28, 2023 Thread starter #101 Naona watu wanaibadilisha taarifa yangu kuwa ugomvi.
Beberu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2017 Posts 4,548 Reaction score 9,740 Feb 28, 2023 #102 Malafyale said: Hapana sio kweli Kuna mikoa imepata mawaziri kamili watatu,mfano Pwani Na kama haitoshi Pwani ipata pia Naibu Waziri,this is insane. Rais anatakiwa a balance hizi nafasi,mkiwa na mawaziri wengi na kama wana akili mkoa unapiga hatua haraka Click to expand... Hizi habari za 50/50 ni mbaya Wote ni wa Tz tuweke watu wanaofanya kazi sio watu waliotokea mikoa fulan Kama mkoa wenu mmechagua vilaza kama Dar bas kazi mnayo Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Malafyale said: Hapana sio kweli Kuna mikoa imepata mawaziri kamili watatu,mfano Pwani Na kama haitoshi Pwani ipata pia Naibu Waziri,this is insane. Rais anatakiwa a balance hizi nafasi,mkiwa na mawaziri wengi na kama wana akili mkoa unapiga hatua haraka Click to expand... Hizi habari za 50/50 ni mbaya Wote ni wa Tz tuweke watu wanaofanya kazi sio watu waliotokea mikoa fulan Kama mkoa wenu mmechagua vilaza kama Dar bas kazi mnayo Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
makwagejo JF-Expert Member Joined Nov 25, 2019 Posts 361 Reaction score 268 Feb 28, 2023 #103 hapo kwenye madini ni raisi ajae na ananguvu, Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Cannibal OX JF-Expert Member Joined Aug 27, 2014 Posts 3,164 Reaction score 3,553 Feb 28, 2023 #104 Tanga oyeeee