Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

Hiyo baadae ilipofika, Studio akaingia Mtulia, Mbunge wa Kinondoni.
Nami nikahama station.
Nimeisha hapa, asante kufuatilia.
P
Dr Mayrose ni kama Mange tu hawawezi siasa,siasa inatakiwa uwe na Maneno mengi yanatoka mfululizo ila huyo Dada uandishi wa habari ndio unambeba lakini kwenye kuongea hamna kitu.
 
Mimi ndio naingia nakutana Mtulia nimechelewa.
Kigogo alitangaza mapema kwamba Mtulia anaumwa korona ila watu walimpinga sana kwamba ni Mzushi,Hata Egbert Mkoko altangaza anaumwa korona watu wakapinga sana ila baada ya mda wote walikiri kwamba walipata maambukizi ya korona na wamepona.

Mtulia anakwambia hajatekeleza ahadi moja tu ya kuondoa "SKWATA" bonde la mkwajuni,kigogo na tandale basi na hilo hajatekeleza kwasababu mji umehamia Dodoma ila ahadi nyingine zote ametekeleza.. 😀 😀 😀
 
Akiwa live kupitia line ya simu katika East Africa Radio mtia nia wa kugombea urais kupitia CHADEMA, Mayrose Majinge amesema yeye amejiunga Chadema toka mwaka 2013 hivyo sio mgeni ndani ya CHADEMA.

Pia ameahidi kuleta siasa safi na maendeleo makubwa ndani ya nchini.

Akijibu swali la mtangazaji la kwanini anaonekana anataka kugombea urais kupitia CHADEMA na huku hawajui viongozi wa Chadema je atapangaje baraza la mawaziri? Mayrose Majinge amejibu kuwa yeye hana muda wa kuclaim viongozi wa Chadema na urais ni taasisi hivyo baraza la mawaziri hilo litapangwa na taasisi ya urais na sio yeye peke yake.

Mambo yamepamba moto.
Mmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kigogo alitangaza mapema kwamba Mtulia anaumwa korona ila watu walimpinga sana kwamba ni Mzushi,Hata Egbert Mkoko altangaza anaumwa korona watu wakapinga sana ila baada ya mda wote walikiri kwamba walipata maambukizi ya korona na wamepona.

Mtulia anakwambia hajatekeleza ahadi moja tu ya kuondoa "SKWATA" bonde la mkwajuni,kigogo na tandale basi na hilo hajatekeleza kwasababu mji umehamia Dodoma ila ahadi nyingine zote ametekeleza.. 😀 😀 😀
Wanasiasa Sijui wanatuonaje wananchi...mtangazaji angekuwa makini ilibidi atafute ahadi zake wakati wa kampeni ili ajibu vizuri.
 
Kwa huu mtiririko nimeona watangazaji na mgeni wao wate wameboa vibaya sana...hasa watangazaji kwa kushindwa kuandaa maswali ya msingi.
It's true, that session ya huyu dada was a waste due to watangazaji vilaza!. Mtangazaji wa kike amejitahidi sana, lakini yule wa kiume ni kiazi kabisa!. Sikui hivi vituo, vinawaokota wapi vilaza wa type hii!, wanatuharibia tasnia wote tunaonekana ni watu wa hovyo!.
P
 
Back
Top Bottom