Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbea UTAKUUWA we Mayalla aka Njaa, hamu yote ni kusikia jinsi huyo Dr atakavyo ivuruga CHADEMA. Acha mambo hayoo muda utapita tuuu.Wanabodi, kiukweli huwa nasikiza Radio asubuhi mara chache sana, niwapo njiani kwenye gari, na station ninayosikilizaga sio EA Radio, lakini leo nimeamua kuisikiliza hii Redio Redio baada tuu ya kuona hili tangazo ili nimsikie huyu dada.
Watangazaji walisema, Dr. Mayrose Majinge atakuwa live kuanzia saa 1:00 asubuhi.
Two minutes kwa Redio is a long time, wasikilizaji tumeambiwa mgeni atazungumza kuanzia saa 1:00, saa hizi tunakwenda saa 1:25 and no mention ya mgeni!, no excuse ya kuchelewa!.
Kwavile mimi nilisomea utangazaji wa Redio na kuajiriwa RTD, tulifunzwa ukitangaza kitu fulani muda fulani, huo muda ukifika bila hicho kuwepo unaomba excuse.
P
Mbona na wewe unang'ang'ania awe CHEDEMA? wewe ndio kituko zaidi maana haupo huku unataka huyo agombee huku, kama unampenda mwambieni akahatarishe maisha huko kwenu!Mbona bulaya alikuwa Ccm 2015
Chadema ndio maana mnaonekana kituko
Ni nani lakini kamuita msaliti? Wengi humu ni mashabiki na sio wanachama. Kwa kuwatuhumu wenzako kwa mauaji umeonyesha hauna tofauti na wale wanaomuita msaliti.Haya ni maigizo kabisa, CHADEMA hakuna Demokrasia. . . .Mayrose asitegemee kuungwa mkono na wanachama wa CHADEMA. Imagine apo tuu anaonekana msaliti tayari kwa kuonesha nia hiyo. Kikubwa zaidi anahatarisha maisha yake
Mbona kwenye hili CCM ndio wanaofurahia zaidi. Lakini wanachadema wenyewe wala hawashangilii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umbea UTAKUUWA we Mayalla aka Njaa, hamu yote ni kusikia jinsi huyo Dr atakavyo ivuruga CHADEMA. Acha mambo hayoo muda utapita tuuu.
It's true, that session ya huyu dada was a waste due to watangazaji vilaza!. Mtangazaji wa kike amejitahidi sana, lakini yule wa kiume ni kiazi kabisa!. Sikui hivi vituo, vinawaokota wapi vilaza wa type hii!, wanatuharibia tasnia wote tunaonekana ni watu wa hovyo!.
P
Huyu Mama kaenda kwenye media bila kuisoma vizuri Ibara ya 3 ya katiba ya CHADEMA angeisoma vizuri angejibu vizuri sana hayo maswali ya wanahabari.Swali la 4, Mtangazaji wa kike
nini kimsukuma kugombea urais?
Jibu: Nagombea ili kuleta maendeleo makubwa kupitia siasa safi.
P
Sioni kama ni tatizo mtu wa TISS kugombea urais kupitia vyama vya upinzani.Huyu ni TISS, taarifa zake Kigogo2014 ameshazitoa. Msaliti. Kama hakuna.mgombea afadhali CDM isisimamishe mgombea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haujawahi kukaa ata cello uyo.
Wanajihangaisha ccm kuweka mapandikizi. Kama ya Mwambe iligoCcm wanshangilia pandikizi lao
In God we Trust
TISS wanafanya kazi kwa ajili ya CCM. Siyo Tanzania , or for that matter Africa.Sioni kama ni tatizo mtu wa TISS kugombea urais kupitia vyama vya upinzani.
Kwa sababu TISS siyo ccm hivyo ni muhimu kuwa na watu wa aina hiyo kwenye chama.
Ina maana akitangaza Mwamunyange kugombea urais kupitia CDM mtamkataa kwa sababu ni former CDF ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini siyo tatizo kugombea kama mtu ameamua kuamini itikadi ya chama.
TISS ni agents was CCM. Huwezi kumwamini, hakuna cha itikadi Tanzania, ni tumbo, njaa tupuLakini siyo tatizo kugombea kama mtu ameamua kuamini itikadi ya chama.
Sent using Jamii Forums mobile app