Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Pascal naona hilo jina linakusumbua sana la Majinge
In God we Trust
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe angekuwa wa ajabu ivyo usingekuwa humu unaongea umbea
Ni fursa yetu Watanzania kumsikiliza na kumjua mtu huyu, maana si wote tunaomfahamu
Mbona Aden Rage amekamatwa na Takukuru kwa kuanza kampeni mapema?
Lakini Kitila kaachwa...
Jr[emoji769]
Kitila ni kama Makonda.usiwaige.
Acha tu wanasiasa wanatuchukilia sie MAZUZU hatujui kitu kabisa.Wanasiasa Sijui wanatuonaje wananchi...mtangazaji angekuwa makini ilibidi atafute ahadi zake wakati wa kampeni ili ajibu vizuri.
Kada wa Lumumba huyo na mke wa Kusaga. Clouds tumeshawateka nyara mapema tu.Saa hizi ndio tunamsubiria, Dr. Mayrose Majinge atiririke...
P
Huyu bure kabisa, tuseme hajui kiswahili fasaha? Maana you know you know nyiingiii! Hajui anazungumza na watu wakati gani Nani atategemea kuwa na rais hajui wananchi wanahitaji lugha gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Awe makini na usalama wake Mbowe anaweza kumpoteza
Tumekusoma kamandaHuyu ni TISS, taarifa zake Kigogo2014 ameshazitoa. Msaliti. Kama hakuna.mgombea afadhali CDM isisimamishe mgombea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uzi juzi nilipandisha juu ya kutojiamini kwa ccm kuelekea uchaguzi mkuu mwezi October 2020
HahahaaaaTatizo sio kanda tatizo Ni shabiki wa yanga
Haya ni maigizo kabisa, CHADEMA hakuna Demokrasia. . . .Mayrose asitegemee kuungwa mkono na wanachama wa CHADEMA. Imagine apo tuu anaonekana msaliti tayari kwa kuonesha nia hiyo. Kikubwa zaidi anahatarisha maisha yakeWanabodi, kiukweli huwa nasikiza Radio asubuhi mara chache sana, niwapo njiani kwenye gari, na station ninayosikilizaga sio EA Radio, lakini leo nimeamua kuisikiliza hii Redio Redio baada tuu ya kuona hili tangazo ili nimsikie huyu dada.
Watangazaji walisema, Dr. Mayrose Majinge atakuwa live kuanzia saa 1:00 asubuhi.
Two minutes kwa Redio is a long time, wasikilizaji tumeambiwa mgeni atazungumza kuanzia saa 1:00, saa hizi tunakwenda saa 1:25 and no mention ya mgeni!, no excuse ya kuchelewa!.
Kwavile mimi nilisomea utangazaji wa Redio na kuajiriwa RTD, tulifunzwa ukitangaza kitu fulani muda fulani, huo muda ukifika bila hicho kuwepo unaomba excuse.
P
Kama mlivyo wapoteza wengi
In God we Trust