Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

Nakubaliann na wewe lakini Siyo haya mapandikizi. Kumleta mtu kama huyo labda awe kama Dr Lwaitama! kwa mfano
Lakini chama hakiwezi kuishi with such a splendid isolation.

Ni ngumu kutokuwa na wanachama wa aina hiyo kwenye chama kikubwa kama CHADEMA na yawezekana wakawa loyal kwa chama kuliko Lijualikali na Silinde.

Chama cha CHADEMA lazima mjifunze kuwa chama kikubwa ambacho kwa vyovyote vile ni lazima kifanye recruitment ya wanachama kutoka kwenye taasisi muhimu za serikali kama hiyo pamoja na jeshini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bulaya sio pandikizi?
Bulaya Utamlinganisha na huyu TISS wenu?
IMG_20200526_093318.jpeg


In God we Trust
 
Shukrani Mkuu P.

Kwakuwa katia nia, hongera zake.

Lakini,

Binafsi nina tatizo sana na hawa watangazaji wa hivi vipindi vya asubuhi, sijajua ni kitu gani kimewakumba. Ama sijui ndo 'cheap labour' sijui. Unaweza kuhisi labda unasikiliza kipindi cha 'mipasho' hivi. Hakuna uchambuzi wa maana, ushabiki umewajaa, hakuna flow ya mazungumzo full vurugu.

Zama zile ilikuwa ni source nzuri ya habari...kuna kitu kinakosewa pahala sio bure.

Nimeamua kusikiliza audio zangu ziwe ni nyimbo au vitabu.
Majibu ya maswali haya ni yale yale ya miaka yote ya kwenye Essay mkuu i.e cheap labours,land degradation,Soil Erosion,Industrial revolution,Abolition of slave trade,Lack of infastructures.
 
Yaani Utafikiri kipindi kinaendeshwa na vitoto vya form Four
Shukrani Mkuu P.

Kwakuwa katia nia, hongera zake.

Lakini,

Binafsi nina tatizo sana na hawa watangazaji wa hivi vipindi vya asubuhi, sijajua ni kitu gani kimewakumba. Ama sijui ndo 'cheap labour' sijui. Unaweza kuhisi labda unasikiliza kipindi cha 'mipasho' hivi. Hakuna uchambuzi wa maana, ushabiki umewajaa, hakuna flow ya mazungumzo full vurugu.

Zama zile ilikuwa ni source nzuri ya habari...kuna kitu kinakosewa pahala sio bure.

Nimeamua kusikiliza audio zangu ziwe ni nyimbo au vitabu.
 
Mimi sijasema lazima apewe, nimesema mwacheni atangaze nia badala ya kuanza kumpaka mavi mapema namna hii mtakuwa hamna tofauti na siasa za majitaka za ccm.

Siasa za kupakana shombo hazina tija yoyote kwa taifa na wala hazitakiwi kufanywa na chama makini kama CHADEMA.

Au mmeshaondoka kwenye hii grade ya chama makini kinachoheshimu utu wa watu kwa mujibu wa ibara yenu ya 3 ya katiba ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kumsikia katika mateso ya wanachadema, leo eti anataka kuwa rais kutokea CDM.
 
Nakubaliann na wewe lakini Siyo haya mapandikizi. Kumleta mtu kama huyo labda awe kama Dr Lwaitama! kwa mfano
Mnajuaje kuwa Dr Lwaitama siyo TISS ila huyo mama ni TISS?

Sasa hivi hata akishindwa mmeshamtengenezea sababu za kuwachafueni kuwa mmenyima nafasi kwa zengwe which will be a fatal blow kwa chama again.

Kama mnaamini ni pandikizi why msisubiri mchakato wa kuteua wagombea mkameliminate intellugibly badala ya kushambulia huku mitandaoni tena kwa kutumia source za kigogo tu ?

Siku hizi CHADEMA you are losing focus kwenye mambo ya msingi badala yake na nyie mnafanya siasa za kuattack personality za wanachama wenu wenyewe badala ya kufight with your common enemy ccm.

Hii inanipa picha moja kubwa kuwa sasa hivi kitengo chote cha propaganda cha chama ni faulty and it needs an overhaul.

Chama hakiwezi kukwepa wanachama aina hiyo kama ni kweli ni pandikizi but her elimination should be done intelligibly siyo hiki mnachokifanya humu hii inahalalisha hoja za maadui wenu kuwa chama ni cha kundi fulani tu siyo cha watanzania wote.

You should go back to basis guys otherwise you are inflicting blows yourselves which is an advantage to your opponents.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Wenye access fuatilieni hii
View attachment 1459783
Wanabodi, kiukweli huwa nasikiza Radio asubuhi mara chache sana, niwapo njiani kwenye gari, na station ninayosikilizaga sio EA Radio, lakini leo nimeamua kuisikiliza hii Redio Redio baada tuu ya kuona hili tangazo ili nimsikie huyu dada.

Watangazaji walisema, Dr. Mayrose Majinge atakuwa live kuanzia saa 1:00 asubuhi.
Two minutes kwa Redio is a long time, wasikilizaji tumeambiwa mgeni atazungumza kuanzia saa 1:00, saa hizi tunakwenda saa 1:25 and no mention ya mgeni!, no excuse ya kuchelewa!.

Kwavile mimi nilisomea utangazaji wa Redio na kuajiriwa RTD, tulifunzwa ukitangaza kitu fulani muda fulani, huo muda ukifika bila hicho kuwepo unaomba excuse.

Dr. Mayrose Majinge sasa yuko live, amekaribishwa, amejitambulisha kuwa amejiunga Chadema toka July 13, 2013.

Swali la kwanza, mtangazaji wa kiume akamuuliza yuko Chadema toka lini?.
Huyu mtangazaji wa kiume ni kilaza fulani!, mtu amejitambulisha yuko Chadema toka lini halafu hapo hapo unamuuliza amejiunga lini Chadema!. Kiukweli hawa watangazaji vilaza wa type hizi ni majanga kwa media zetu, kutafunya sisi watangazaji wengine wote tuonekane kama vilaza fulani!.

Swali la pili, mtangazaji wa kiume, akamuuliza, ulikuwa CCM na uligombea Uenyekiti wa UWT, imekuwa tena leo uko Chadema?.
Ndio swali gani hili?.
Akajibiwa ni kweli nilikuwa CCM na kweli niligombea uenyekiti wa UWT, sasa niko Chadema.

Swali la tatu la mtangazaji wa kiume akamuuliza Waziri kivuli wa fedha ni nani?.
Dr. Mayrose Majinge akashindwa kujibu swali hili,

Mtangazaji wa kiume was patronizing this lady!, ndipo mtangazaji wa kike akaingilia kati...

Swali la 4, Mtangazaji wa kike
nini kimsukuma kugombea urais?
Jibu: Nagombea ili kuleta maendeleo makubwa kupitia siasa safi.

Swali la 5, jee Tanzania tuna siasa safi?.
Jibu ni Tanzania hatuna siasa safi, hivyo nagombea kuleta siasa safi nchini.

Swali la 6 mtangazaji wa kike, nini sera zako?
Jibu: Huu sio wakati wa kutangaza sera, hapa nimetangaza nia tuu na sio sera, sera zitatangazwa na chama kupitia ilani ya uchaguzi ya Chadema.

Swali la 7 mtangazaji wa kiume.
Kwa sasa una wadhifa gani Chadema?.
Jibu: Sina wadhifa wowote ni mwanachama wa kawaida.

Swali la 8, sasa wewe huna cheo chochote Chadema, unataka kugombea urais wakati hujui hata Waziri kivuli wa fedha?, utawezaje kuwa rais?.
Again this is patronizing question!.
Jibu: sio simjui bali sitaki kumchanganya kutokana na kuwa busy na maandalizi haya!. Urais ni Taasisi, kazi ya urais sio ku crame majina ya viongozi bali ni utekelezaji wa pamoja.

Thats a lame excuse!.

Mtangazaji wa kiume aliendelea kukomaa nae, mtangazaji wa kike akamkatisha kuwa tutaendea baadaye.

Hiyo baadae ilipofika, Studio akaingia Mtulia, Mbunge wa Kinondoni.
Nami nikahama station.
Nimeisha hapa, asante kufuatilia.

Paskali


Karibu pande hizi.
P
Hukutaka kusikiliza utumbo wa Mtulia
 
Wanabodi,
Wenye access fuatilieni hii
View attachment 1459783
Wanabodi, kiukweli huwa nasikiza Radio asubuhi mara chache sana, niwapo njiani kwenye gari, na station ninayosikilizaga sio EA Radio, lakini leo nimeamua kuisikiliza hii Redio Redio baada tuu ya kuona hili tangazo ili nimsikie huyu dada.

Watangazaji walisema, Dr. Mayrose Majinge atakuwa live kuanzia saa 1:00 asubuhi.
Two minutes kwa Redio is a long time, wasikilizaji tumeambiwa mgeni atazungumza kuanzia saa 1:00, saa hizi tunakwenda saa 1:25 and no mention ya mgeni!, no excuse ya kuchelewa!.

Kwavile mimi nilisomea utangazaji wa Redio na kuajiriwa RTD, tulifunzwa ukitangaza kitu fulani muda fulani, huo muda ukifika bila hicho kuwepo unaomba excuse.

Dr. Mayrose Majinge sasa yuko live, amekaribishwa, amejitambulisha kuwa amejiunga Chadema toka July 13, 2013.

Swali la kwanza, mtangazaji wa kiume akamuuliza yuko Chadema toka lini?.
Huyu mtangazaji wa kiume ni kilaza fulani!, mtu amejitambulisha yuko Chadema toka lini halafu hapo hapo unamuuliza amejiunga lini Chadema!. Kiukweli hawa watangazaji vilaza wa type hizi ni majanga kwa media zetu, kutafunya sisi watangazaji wengine wote tuonekane kama vilaza fulani!.

Swali la pili, mtangazaji wa kiume, akamuuliza, ulikuwa CCM na uligombea Uenyekiti wa UWT, imekuwa tena leo uko Chadema?.
Ndio swali gani hili?.
Akajibiwa ni kweli nilikuwa CCM na kweli niligombea uenyekiti wa UWT, sasa niko Chadema.

Swali la tatu la mtangazaji wa kiume akamuuliza Waziri kivuli wa fedha ni nani?.
Dr. Mayrose Majinge akashindwa kujibu swali hili,

Mtangazaji wa kiume was patronizing this lady!, ndipo mtangazaji wa kike akaingilia kati...

Swali la 4, Mtangazaji wa kike
nini kimsukuma kugombea urais?
Jibu: Nagombea ili kuleta maendeleo makubwa kupitia siasa safi.

Swali la 5, jee Tanzania tuna siasa safi?.
Jibu ni Tanzania hatuna siasa safi, hivyo nagombea kuleta siasa safi nchini.

Swali la 6 mtangazaji wa kike, nini sera zako?
Jibu: Huu sio wakati wa kutangaza sera, hapa nimetangaza nia tuu na sio sera, sera zitatangazwa na chama kupitia ilani ya uchaguzi ya Chadema.

Swali la 7 mtangazaji wa kiume.
Kwa sasa una wadhifa gani Chadema?.
Jibu: Sina wadhifa wowote ni mwanachama wa kawaida.

Swali la 8, sasa wewe huna cheo chochote Chadema, unataka kugombea urais wakati hujui hata Waziri kivuli wa fedha?, utawezaje kuwa rais?.
Again this is patronizing question!.
Jibu: sio simjui bali sitaki kumchanganya kutokana na kuwa busy na maandalizi haya!. Urais ni Taasisi, kazi ya urais sio ku crame majina ya viongozi bali ni utekelezaji wa pamoja.

Thats a lame excuse!.

Mtangazaji wa kiume aliendelea kukomaa nae, mtangazaji wa kike akamkatisha kuwa tutaendea baadaye.

Hiyo baadae ilipofika, Studio akaingia Mtulia, Mbunge wa Kinondoni.
Nami nikahama station.
Nimeisha hapa, asante kufuatilia.

Paskali


Karibu pande hizi.
P
Afaa awe mgombea mwenza na siyo mgombea kamili
 
Sijawahi kumsikia katika mateso ya wanachadema, leo eti anataka kuwa rais kutokea CDM.
Siyo kila mwanachama wa CHADEMA lazima apitie mateso wanayoyapitia viongozi wa juu wa chama.

Lowassa alipewa nafasi ya kugombea urais uliwahi kuona au kumsikia akipitia mateso waliyoyapitia wanachadema ?

Na wala kupitia Mateso kama mwanachama hakijawahi kuwa kigezo cha mtu kupewa nafasi ya kugombea katika CHADEMA.

Tumieni muda huu kuchambua sera zake na kuzikosoa badala ya kujikita kujadili utiss na uanachama wake wa nyuma which has nothing to do with your prosperity as a political party .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom