Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

Mnajuaje kuwa Dr Lwaitama siyo TISS ila huyo mama ni TISS?

Sasa hivi hata akishindwa mmeshamtengenezea sababu za kuwachafueni kuwa mmenyima nafasi kwa zengwe which will be a fatal blow kwa chama again.

Kama mnaamini ni pandikizi why msisubiri mchakato wa kuteua wagombea mkameliminate intellugibly badala ya kushambulia huku mitandaoni tena kwa kutumia source za kigogo tu ?

Siku hizi CHADEMA you are losing focus kwenye mambo ya msingi badala yake na nyie mnafanya siasa za kuattack personality za wanachama wenu wenyewe badala ya kufight with your common enemy ccm.

Hii inanipa picha moja kubwa kuwa sasa hivi kitengo chote cha propaganda cha chama ni faulty and it needs an overhaul.

Chama hakiwezi kukwepa wanachama aina hiyo kama ni kweli ni pandikizi but her elimination should be done intelligibly siyo hiki mnachokifanya humu hii inahalalisha hoja za maadui wenu kuwa chama ni cha kundi fulani tu siyo cha watanzania wote.

You should go back to basis guys otherwise you are inflicting blows yourselves which is an advantage to your opponents.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kundi wanaojitolea kufa kwa ajili ya chama, siyo hawa wa kutafuta kuteuliwa. Hajawahi kusikika katika mateso ya CDM, anajitokeza Leo kutaka kuteuliwa. Never! Let people and these are opponents make any interpretation they deem very attractive

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo rahisi kwa mwanamke kuchaguliwa kuwa Rais wa Tz bado mfumo dume unasumbua sn
Chama hakipaswi kutumia hicho kigezo kama sifa ya kumnyima mtu nafasi apimwe katika mizania sawa na siyo kigezo cha mfumo dume.

Kama chama kinaamini katika usawa kutumia mfumo dume wa nchi ni kupropagate vitu vinavyofuta dhana ya usawa katika chama na taifa CHADEMA should avoid this.

Na chama kimeweza kuwaamini kina mama wengi tu kupeperusha bendera majimboni na wakafanikiwa kwanini tusiwaamini na urais ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali kwa mama yetu Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CDM - (Chama Makini )

Mwaka 2015 CDM ilikuwa na sera gani kuhusu Elimu, Kilimo na Viwanda, Je kwa tathmini yako ni kwa kiwango gani sera hizi zimetekelewa na Serikali ya CCM ? kama hazijatekelezwa kwa kiwango stahili, Je walikwama wapi?

Je unafikiri kwa namna gani basi sera hizi zirekebishwe ili sasa unapokwenda kugombea Urais kwa tiketi ya CDM uwe na mzigo mwepesi wakati wa kuzinadi kwa wananchi?

Hi hayo tu mamangu.
 
Chama hakipaswi kutumia hicho kigezo kama sifa ya kumnyima mtu nafasi apimwe katika mizania sawa na siyo kigezo cha mfumo dume.

Kama chama kinaamini katika usawa kutumia mfumo dume wa nchi ni kupropagate vitu vinavyofuta dhana ya usawa katika chama na taifa CHADEMA should avoid this.

Na chama kimeweza kuwaamini kina mama wengi tu kupeperusha bendera majimboni na wakafanikiwa kwanini tusiwaamini na urais ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida siyo ndani ya Chadema shida ipo kwa wapiga kura
 
Kundi wanaojitolea kufa kwa ajili ya chama, siyo hawa wa kutafuta kuteuliwa. Hajawahi kusikika katika mateso ya CDM, anajitokeza Leo kutaka kuteuliwa. Never! Let people and these are opponents make any interpretation they deem very attractive

Sent using Jamii Forums mobile app
Lowasa alipitia Mateso gani mpaka akapewa nafasi ya kugombea urais ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kila mwanachama wa CHADEMA lazima apitie mateso wanayoyapitia viongozi wa juu wa chama.

Lowassa alipewa nafasi ya kugombea urais uliwahi kuona au kumsikia akipitia mateso waliyoyapitia wanachadema ?

Na wala kupitia Mateso kama mwanachama hakijawahi kuwa kigezo cha mtu kupewa nafasi ya kugombea katika CHADEMA.

Tumieni muda huu kuchambua sera zake na kuzikosoa badala ya kujikita kujadili utiss na uanachama wake wa nyuma which has nothing to do with your prosperity as a political party .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Chadema kama huoni kuwa kuna mateso ambayo wanachama wa kweli wanayapitia, na hujawahi kukemea na kuonyesha kuwa unakelwa na kinachowapata Chadema, wewe unasubiri kuteuliwa, huwafai. Lazima use brushed immediately

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Chadema kama huoni kuwa kuna mateso ambayo wanachama wa kweli wanayapitia, na hujawahi kukemea na kuonyesha kuwa unakelwa na kinachowapata Chadema, wewe unasubiri kuteuliwa, huwafai. Lazima use brushed immediately

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo CHADEMA kina wanachama wa kweli na wanachama wasio wa kweli ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chama hakipaswi kutumia hicho kigezo kama sifa ya kumnyima mtu nafasi apimwe katika mizania sawa na siyo kigezo cha mfumo dume.

Kama chama kinaamini katika usawa kutumia mfumo dume wa nchi ni kupropagate vitu vinavyofuta dhana ya usawa katika chama na taifa CHADEMA should avoid this.

Na chama kimeweza kuwaamini kina mama wengi tu kupeperusha bendera majimboni na wakafanikiwa kwanini tusiwaamini na urais ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nakuunga mkono, kama mwanamke ana sifa, si sahihi kuleta ushenzi wa mfumo dume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mwanachama ana haki ya kugombea haijalishi ana uwezo au hana uwezo wa kupata anachogombea.

Kama mnatumia kigogo kama authoritative source ya taarifa kwa wanachama wenu then you are lost.

Huyo mama aachwe agombee mchakato ukifika tutajua chama kitampitisha au lah badala ya kuanza kumpaka mavi mapema namna hii.

Mtajitofautisha na siasa za majitaka za ccm kama hata wanachama wenu wa ndani hamuwaamini ?

Mwacheni agombee ndiyo demokrasia yenyewe awe TISS au whatever itajulikana her hidden intentions lakini siyo kuanza kumbagaza na vitu vya kusadikika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio shida ya kutanguliza ushabiki. Ni nani aliyesema asigombee? Ni kiongozi gani wa Chadema amesema asigombee. Ni wapi nimemzungumzia mtu anayeitwa kigogo? Mtu yeyote anayetaka kugombea nafasi yeyote ya uongozi ( hata za ukaka mkuu) ni lazima wategemee kuulizwa maswali. Hiyo ndio demokrasia. Kwa kuulizwa maswali na kutupiwa tuhuma mapema kunampa nafasi ya kutosha ya kuyatolea maelezo kabla ya uteuzi kufanyika na kuwathibitishia wanachama wenzake kuwa hazina msingi wowote. Ni watu kama nyinyi ndio hamumtakii mema kwa kumtaka alelewe kama yai. Madongo hasa yatakuja pale atakapokuwa mgombea wa urais na kuonyesha kuwa kweli amepania kuchukua urais. Ndiyo siasa ilivyo.

Amandla...
 
CHADEMA hawataki watu wanaolialia huyu ni pandikizi aende kwa KUSAGA akapigwe mitulinga
 

Attachments

  • IMG_20200525_222635.jpg
    IMG_20200525_222635.jpg
    22.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom